The Flycatcher
Member
- Dec 23, 2007
- 23
- 0
nakuambia,
sio tu kuwa inachekesha ila inasitisha kufurahia uafrika. Kazi kweli iko mbele yetu.
Quote:-
"We dont have to time ya Ku-analyze ikiwa Uchaguzi hakuwa Fair..."
Kwenye kila uchaguzi kuna two sides, ya academic na ya malalamiko ya kufanyika kwa uhuni, kama vile uchaguzi wa US mwaka 2000,
Gore, alitaka kura za baadhi ya majimbo ya uchaguzi ambayo alikuwa akijua wazi kuwa hayo majimbo ni ya Democrat kule Florida, yarudiwe kuhesabiwa kura, huku akijua wazi kuwa sheria za US zinasema wazi kama ni kurudiwa kwa kura, basi ni kura zote za State of Florida zilitakiwa zirudiwe kuhesabiwa, alijua kuwa zikihesabiwa zote za State, hatashinda, ingawa haibadilishi ukweli kuwa kuna mchezo mchafu ulichezwa na political system nzima ya State of Florida, ambayo ilikuwa ni Republican,
Ukiangalia Kenya, ni kwamba political system nzima ya huko ni Kikuyus, je kweli wangeweza kumpitisha Odinga? Sawa kuna mchezo mchafu umefanyika, lakini pia kuna makosa yaliyofanywa na ODM kwa kuelewa wazi kabla hata ya kuanza uchaguzi kuwa haitakuwa rahisi kushinda system ya nchi yao ambayo ni dominated na the Kikuyus, kwa chama cha Kikuyus, kwa kweli kuna mengi ya kujifunza academically, ingawa pia huwezi kuangalia mchezo mchafu uliochezwa pia!
Hapana tena wacha kujidharaulisha ,maendeleo katika kasi na dira mpya hayakuanza hapa Afrika,hivi mlisahau kama ukoo wa George Bush uliiba kura na kumwangusha Dole au wale weupe wanayoyafanya ni sawa au ni ya wazungu kama maepol.
Tuombe mapambano yapite mbali nakumbuka vita ya maumau kule kenya si watu wa amani kama hapa Tanzania,huko mambo yakichafuka basi wanaweza hata kujigawa na kukatika mapande mawili.Na suluhisho lake ni vita ya weyewe kwa wenyewe ,yaani ni kama ile hadithi ya Nyoka yupo mwanza alafu wengine wanaitikia na apite..Nyoka huyu alikuwepo Zaire,Burundi Rwanda Somalia ,huku tunaitikia na apite ,sasa jamani Nyoka anaikaribia kenya ?
Hebu tujaribu kuwa analytical kwa kuweka kwanza kando swala la wizi wa kura at least kwa sasa! Kwa maoni yangu;
1. Kura za maoni predicted a neck to neck contest- na matokea haywajawa tofaoti sana na kura za maoni!
2. Ndo maana nikasema Kalonzo factor is key! If Kalonzo was assured VP na ODM na akampigia debe Raila- huku Ukambani wangempa kura Raila! Hizi kura za Ukambani nyingine zimeenda kwa Kibaki kwa kuwa kuna uwezekano mkubwa Kalonzo kuwa Makamu wa Raisi kwa Kibaki! This assuarance was not evident if Raila had won as he already miscalculated in declaring Mudavadi as arunning mate!
Remember Kibaki was hasitent in declaring a running mate- na sheria Kenya haimbani kama hapa Tanzania!
That is why Kilonzo can be used as a deciding factor of winning or loosing for both candidates!
Mwiba,
Huu ndio ujinga wa sisi Waafrika, kutumia failure moja ya Wazungu kuhalalisha failures zetu 1000.
Wamarekani wana system yao in place hata kukitokea tatizo kama lile la Bush bado effect yake kwa wananchi wa kawaida ni ndogo sana.
Effects za failures zetu, ni vifo, ujinga na umaskini kwa maelfu ya watu.
....
Kwenye kila uchaguzi kuna two sides, ya academic na ya malalamiko ya kufanyika kwa uhuni, kama vile uchaguzi wa US mwaka 2000,
Gore, alitaka kura za baadhi ya majimbo ya uchaguzi ambayo alikuwa akijua wazi kuwa hayo majimbo ni ya Democrat kule Florida, yarudiwe kuhesabiwa kura, huku akijua wazi kuwa sheria za US zinasema wazi kama ni kurudiwa kwa kura, basi ni kura zote za State of Florida zilitakiwa zirudiwe kuhesabiwa, alijua kuwa zikihesabiwa zote za State, hatashinda, ingawa haibadilishi ukweli kuwa kuna mchezo mchafu ulichezwa na political system nzima ya State of Florida, ambayo ilikuwa ni Republican,
Ukiangalia Kenya, ni kwamba political system nzima ya huko ni Kikuyus, je kweli wangeweza kumpitisha Odinga? Sawa kuna mchezo mchafu umefanyika, lakini pia kuna makosa yaliyofanywa na ODM kwa kuelewa wazi kabla hata ya kuanza uchaguzi kuwa haitakuwa rahisi kushinda system ya nchi yao ambayo ni dominated na the Kikuyus, kwa chama cha Kikuyus, kwa kweli kuna mengi ya kujifunza academically, ingawa pia huwezi kuangalia mchezo mchafu uliochezwa pia!
Najua Mkuu wa Majeshi ni Mkikuyu mwenzake na Mkuu wa Polisi ni Msomali Mkenya , ila naamini watakuwa wise sana na kuacha kuwaua wapinzania maana itawaumiza sana . Ni ajabu sana na aibu kubwa .Yaani ameogopwa kupigwa Mahakamani ama ni kitu gani ? Jeshi lilikuwa limeshika Nchi we all knew that .
Anyway niko Kiserian sasa hapa Nairobi yapata km 60.Napata simu kwamba maeneo mengi ya Kenya vurugu ni kubwa sana .Watume jifungia majumbani . Naongea na mtu mmoja Eldoret hapa sasa hata kuwasha taa hataki anasema Estate nzima ni ngumu na hajui nani atapona .
Kibaki ana wabunge wachache sana ukilinganisha na ODM wana wabunge 90+ je anadhani kuwa rais pekee kutatosha yeye kuwa mtawala wa Kenya ?
this is when those guys we call freedom fighters seems to be free madaraka fighters.
vijana wa afrika tuna kazi kubwa. huu ni wakati wa kutafuta uhuru wa kweli na kuachana na unafiki wa akina Nyerere, Kenyata etc. ni wakati wa kuiuliza kwamba kama Nyerere asingezaliwa, wakoloni wasingeondoka tanzania wakati ilikuwa imefika time ya wazungu kubadilisha kutoka direct conization na kuingia indirect colonization?
vijana tuna kazi, lazima tustop kuwa mbuzi wa shughuli na kupelekwa pelekwa tu
Kamala,
Tatizo sio akina Nyerere au Kenyatta ambao angalau walituletea uhuru.
tatizo ni hawa ambao walikuwa wadogo wakati nchi zetu zinapata uhuru, hawakushiriki kwenye mapambano ya kuzikomboa nchi zetu na ndio walitakiwa wafanye mapinduzi ya kiuchumi. Hawa ndio wabaya mno, ndio wanaiua Afrika.
Sasa sisi wengi tuliozaliwa baada ya uhuru, tumeanza kuchoshwa na ujinga wao. Inabidi ifike mahali hata bakora zitembee vinginevyo tutakuwa wajinga mpaka lini?
Hii story ya mkoloni sasa imechuja, tunataka maendeleo kwa ajili ya watu wetu, full stop.
Hata JK wala hata wasiwasi hana maana anajua hata wananchi wakichukia, ataiba tu kura.
Yaani mimi leo nimechukia sana kama nilivyochukia 1995, 2000 na 2005 kuhusu Zanzibar.
Tatizo kubwa la Afrika ni hao cronies wao ambao wanaona kwasababu wanafaidi sasa basi system inafaa. Wanachosahau ni kwamba tumewaona akina Mangula wakiporomoka na kurudi kulima ambako hata bei wanapunjwa.
System iliyo fair ni pension ya maisha kwa kila mtu.
Hebu tujaribu kuwa analytical kwa kuweka kwanza kando swala la wizi wa kura at least kwa sasa! Kwa maoni yangu;
1. Kura za maoni predicted a neck to neck contest- na matokea haywajawa tofaoti sana na kura za maoni!
2. Ndo maana nikasema Kalonzo factor is key! If Kalonzo was assured VP na ODM na akampigia debe Raila- huku Ukambani wangempa kura Raila! Hizi kura za Ukambani nyingine zimeenda kwa Kibaki kwa kuwa kuna uwezekano mkubwa Kalonzo kuwa Makamu wa Raisi kwa Kibaki! This assuarance was not evident if Raila had won as he already miscalculated in declaring Mudavadi as arunning mate!
Remember Kibaki was hasitent in declaring a running mate- na sheria Kenya haimbani kama hapa Tanzania!
That is why Kilonzo can be used as a deciding factor of winning or loosing for both candidates!