Quote:-
"We dont have to time ya Ku-analyze ikiwa Uchaguzi hakuwa Fair..."
Kwenye kila uchaguzi kuna two sides, ya academic na ya malalamiko ya kufanyika kwa uhuni, kama vile uchaguzi wa US mwaka 2000,
Gore, alitaka kura za baadhi ya majimbo ya uchaguzi ambayo alikuwa akijua wazi kuwa hayo majimbo ni ya Democrat kule Florida, yarudiwe kuhesabiwa kura, huku akijua wazi kuwa sheria za US zinasema wazi kama ni kurudiwa kwa kura, basi ni kura zote za State of Florida zilitakiwa zirudiwe kuhesabiwa, alijua kuwa zikihesabiwa zote za State, hatashinda, ingawa haibadilishi ukweli kuwa kuna mchezo mchafu ulichezwa na political system nzima ya State of Florida, ambayo ilikuwa ni Republican,
Ukiangalia Kenya, ni kwamba political system nzima ya huko ni Kikuyus, je kweli wangeweza kumpitisha Odinga? Sawa kuna mchezo mchafu umefanyika, lakini pia kuna makosa yaliyofanywa na ODM kwa kuelewa wazi kabla hata ya kuanza uchaguzi kuwa haitakuwa rahisi kushinda system ya nchi yao ambayo ni dominated na the Kikuyus, kwa chama cha Kikuyus, kwa kweli kuna mengi ya kujifunza academically, ingawa pia huwezi kuangalia mchezo mchafu uliochezwa pia!