Kibaki revokes Ministers' Suspension

Kibaki revokes Ministers' Suspension

Mkuu Bulesi,

wala hujakosea na mtazamo wako. Nd'o maana napinga sana hii kitu ya EAC based on these kinds of facts. Kibaki aliiba kura na sasa anadekeza wizi wa mali ya uma by proxy. Uingereza walisitisha kutoa hela kusaidia hii kampeni ya watoto kusoma bure only because hela iliiibiwa. Sasa Waziri mkuu kawaambia hawa mawziri wa-step aside mpaka uchunguzi ufanyike kisha Kibaki anakuja nyuma yake na kusema eti Raila hawezi kufanya hivyo na he was not consulted.That is a bunch of BS!

It is very obvious kwamba Rais Kibaki ndiye fisadi namba one Kenya na skendo zipo kibao zinazoashiria in that direction. Je Tanzania ipo tayari kwa huu muungano ikiwa hii ndio hali halisi?... I dont think so.

Kenya needs to clean up house big time before we move in any direction. Its a sad situation but thats what it is.

Nitarudi na zaidi baadae maana we have not heard the end of this thing yet.

Shukran.

Mkuu Ab-Titchaz, Tanzania iko tayari maana kama unavyojua wahusika wote wa ufisadi wa EPA, Kiwira, Richmond, Meremeta, Rada, Ndege ya Rais, Magari ya Jeshi na Helicopters n.k. hakuna hata mmoja aliyewajibishwa hadi leo hii na sidhani kama kuna atakayewajibishwa. Hivyo anayotenda Kibaki hayatofautiani kabida na anayotenda Kikwete wote wanawakingia kifua mafosadi na kuweka maslahi ya nchi pembeni.
 
Tunajifunza kwamba "coalition au mseto government" inaweza isiwe solution nzuri...hasa kama kuna mambo ya ukabila kama kenya

African leaders are really greedy damn
 
Mkuu Ab-Titchaz, Tanzania iko tayari maana kama unavyojua wahusika wote wa ufisadi wa EPA, Kiwira, Richmond, Meremeta, Rada, Ndege ya Rais, Magari ya Jeshi na Helicopters n.k. hakuna hata mmoja aliyewajibishwa hadi leo hii na sidhani kama kuna atakayewajibishwa. Hivyo anayotenda Kibaki hayatofautiani kabida na anayotenda Kikwete wote wanawakingia kifua mafosadi na kuweka maslahi ya nchi pembeni.

BAK,

That is a very unfortunate and scary scenario that is unfolding na sijui kama tutaboa.
Kama mchangiaji mmoja alivyosema, kura sijazo lazima viongozi watupe msimamo
wao na hii kitu na EAC maana tuendako ni kubaya zaidi kuliko tulipo.

Hili ni genge la wezi na to make it worse wana ile 'dont care attitude' ya kutojali
raia wao.
 
Tunajifunza kwamba "coalition au mseto government" inaweza isiwe solution nzuri...hasa kama kuna mambo ya ukabila kama kenya

African leaders are really greedy damn

Tumain

Hii ishu ya serikali za mseto kwa kweli ni kuwafaidisha wale walioiba kura za
uongozi. Mfano mwengine ni Zimbabwe ambako Mugabe anapuuza mbali
makubaliano kati yake na MDC.Huu uozo utazidi maana kila rais wa nchi za kiafrika
anaposhindwa kura atakua anaziiba kisha analilia kuwe na muafaka ilmradi tu azidi
kukaa uongozini kupitia serikali za mseto ambapo kwa kweli hamna cha makubaliano wala nini.
 
Odinga itabidi aambiwe kuwa, yeye aliteuliwa na Kibaki, hivyo basi, mamlaka yake si sawa na ya Mheshimwa Rais Kibaki.

Odinga is a problem. Huyu bwana Odinga alikwenda UN kama kiongozi wa Nchi, na kufikiria alicho fanya ni sawa. Obama akamwambia kuwa, yeye anamikutana na Marais na/au viongozi wa Nchi walio chagulia kuongoza nchi kwa kupitia KURA na si kuteuliwa na kiongozi mwingine wa nchi. lol
 
Kenya PM urges Kofi Annan intervention


_47297912_odinga_ap.jpg

Raila Odinga said there was enough evidence to investigate the ministers

Kenyan Prime Minister Raila Odinga will ask former UN chief Kofi Annan to intervene in an increasingly bitter power struggle, his office has said. Mr Odinga is at loggerheads with President Mwai Kibaki over who has power over cabinet affairs.
On Sunday, the prime minister suspended two ministers suspected of corruption - only for Mr Kibaki to overrule him.
The BBC's Will Ross in Nairobi says many Kenyans have been left wondering who is in charge of the country.
He says people fear that the wrangling will end any hope of winning the fight against corruption, and many Kenyans have lost faith in all politicians.
School money stolen
Mr Kibaki and Mr Odinga - bitter political rivals - joined together in a unity government to end violence that swept the nation after the 2007 election.
But now, both men have accused each other of overstepping their constitutional remit.
"The legal provisions on which the prime minister acted, do not confer him the authority to cause a minister to vacate his or her office," the president's office said in a statement.
But Mr Odinga told the BBC's Network Africa programme he had not sacked the ministers, he had merely suspended them - which he was entitled to do.
"I think that what I've done actually has been within my constitutional powers, and that the president does not have the powers to countermand what I have done," he said.
Mr Odinga's office now say they will ask Mr Annan to intervene.
The former UN secretary general mediated the power-sharing agreement between Mr Kibaki and Mr Odinga.
The two ministers at the centre of the spat - Agriculture Minister William Ruto and Education Minister Samuel Ongeri - both turned up for work on Monday and say only the president has the power to discipline them.
A recent audit into a maize scandal revealed that $26m (£16.5m) had gone missing.
And more than $1m was stolen in an education scam.
Mr Odinga said there was enough evidence implicating the two ministers for an investigation, so they should be suspended.
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=7bs1jG9O1lo&feature=player_embedded[/ame]#
 
Kazi mnooooo Zanzibar learn a lesson please
 
Semeni wenyewe sisi wengine tukisema mnasema tunawaonea wivu hatukusoma na ni wavivu. I mean very educated people of East Africa (Kenya) sijui mmesoma shule gani? Hata jina wanalosema wanalipenda linaelekea jehanamu, I mean sisi wengine tukisema je zile shule tulizosoma itakuwaje?

Mimi napiga mluzi tu hapa , wakati ule wanapigia kelele yale makubaliano walichinjana kama fisi sasa sijui wanataka nini na sisi. Tanzania ndio tuna design ya mkwere wa Jakaya Kikwete I mean tufike mahali tuseme basi na hawa wakoloni wa kisasa. Tutakuwa hatuwatendei haki akina Mkwawa, Mirambo, Chaburuma, Seuta, Mangi et al kwa kuwapinga wakoloni.

Hiki kisiki cha Chama Cha Majambazi ambacho ni jinamizi, tutakiondoa vipi?
 
Food for the thought, although after all these actual mifano sijaona sisi kama Tz tutajinasua vipi, honest sijaona kiongozi wetu (yoyote) akiwa katika on safe side ikifikia katika maamuzi mbalimbali ya jumuiya, mara zote hawa ma-top wetu wamekuwa kama vile 'wanajikomba' zaidi bila kuangalia maslahi ya taifa.
Mwapachu nae he need to stress abit zaidi, namwona kama anaelemea kwa wakenya zaidi ktk maamuzi inhal yeye ni mwenzetu.
I have lived with Kenyans kwa miaka zaidi ya miaka 3, honest, Mkapa alipowaambia kuwa Kenya is MAN EATING COUNTYR hakukosea. Just wait and see, ya Sauzi Afrika yatatokea hapa kwetu miaka si mingi.
 
Odinga itabidi aambiwe kuwa, yeye aliteuliwa na Kibaki, Kibaki ali iiba kura...nobody wanted him, he imposed himself on Kenyans

hivyo basi, mamlaka yake si sawa na ya Mheshimwa Rais Kibaki.

Odinga is a problem. Huyu bwana Odinga alikwenda UN kama kiongozi wa Nchi, na kufikiria alicho fanya ni sawa. Obama akamwambia kuwa, yeye anamikutana na Marais na/au viongozi wa Nchi walio chagulia kuongoza nchi kwa kupitia KURA na si kuteuliwa na kiongozi mwingine wa nchi. lol


No Raila is not a problem...He is the solution. Keep it up Raila Odinga...light that fire on their a@# ses and let the fisadis burnnn.
 
Kenya wanatia aibu hawa.


No, I do not think ni aibu...Kenya is trying to streamline her self...we are working on getting better.
majority of countries go through these kinds of trying periods before they can be really ideal.
 
. Just wait and see, ya Sauzi Afrika yatatokea hapa kwetu miaka si mingi.

Mkuu Manda,

Siombi yatokee but I see a very strong likelihood especially iwapo viongozi
wamelazimisha uma kuingia katika ushirikiano wasoutaka.

Viongozi pande zote mbili wanabore kishenzi hata sina la kusema.
 
No, I do not think ni aibu...Kenya is trying to streamline her self...we are working on getting better.
majority of countries go through these kinds of trying periods before they can be really ideal.


Nyaralego,

The way things are going on now in Kenya, i dont know how to define the term
Kenyans. Is Kibaki and his gang of thieves, is Raila and his supporters or is it the
common mwanachi who has no sey in the goings-on of the country.

Just an aside: you cannot claim that you are working to get better with a runaway
bandit in Statehouse surrounded by a posse of blood thirsty thieves like Uhuru
Kenyatta determining Kenya's direction.

Dont you think its an oxymoron to take Kenyans through death and destruction
just because other countries have been though that before achieving a better
standard of living? This is a question for Kibaki and his peoples.
 
I like Odinga's guts. Anajua fika kwamba kumchokoza William Ruto ni sawa na kusema hataki tena kura kutoka sehemu ya Rift Valley eneo la Kalenjin. Sijui amejiamini vipi lakini ana ujasiri wa kuthubutu. He is a man and half.
 
I like Odinga's guts. Anajua fika kwamba kumchokoza William Ruto ni sawa na kusema hataki tena kura kutoka sehemu ya Rift Valley eneo la Kalenjin. Sijui amejiamini vipi lakini ana ujasiri wa kuthubutu. He is a man and half.
Anacheza mchezo wa hatari sana, kuzipoteza kura za Wakalenjin alichozizoa kwa wingi kwenye uchaguzi uliopita ni sawa na kujirudisha nyuma kwenye mbio za kuchukua uraisi kwenye uchaguzi ujao, katika hili Kibaki amechang'anya kete vizuri.
 
Zimbabwe exodus to South Africa continues


_46886007_asylumseekersinlimpopo.jpg

Desperate Zimbabweans come into South Africa illegally daily to escape poverty​

{It will be the same desperate Kenyans come into Tanzania illegally daily to escape poverty}



More than a year after the signing of a power-sharing deal aimed at rescuing Zimbabwe's shattered economy, young people are still leaving the country in droves, seeking a better life in South Africa. "Not much has changed in Zimbabwe over the past year," says 21-year-old Blessed Rugaru, a day after arriving in South Africa from the eastern Zimbabwean city of Mutare.
She has left behind her parents, who have both lost their jobs.

Zimbabwe's economy has stopped its freefall - mainly because the government has adopted foreign currencies instead of the worthless Zimbabwe dollar. But this means that those without access to hard currency are in a desperate situation. The Red Cross has launched an appeal to aid some 220,000 people - mainly in rural areas - it says have no access to money from abroad. And so those who can send South African rand back to to their families are increasingly valuable.

_46887070_brianngovu.jpg

If I can get papers for asylum I can get a good job
Zimbabwean Brian Ngovu, 17



"There is nowhere to work in Zimbabwe - even if you are educated there are just no jobs," says Brian Ngovu, 17. They are some of hundreds of Zimbabweans waiting in long queues to be served at a refugee reception centre in Musina in Limpopo Province. It opened its doors in July 2008 to deal with the thousands of Zimbabwean asylum-seekers then camping out in an open field in the border town. There are three refugee centres in South Africa and the Limpopo centre, close to the Beit Bridge border post, receives the largest number of people - about 350-400 new asylum applications daily. "The trends have not changed, we are still seeing the same large groups of people coming here as before the elections last year," says a senior official at the centre.
He refuses to give his name in case he gets "into trouble for speaking to the media".

Queuing for change

The halls and corridors of the centre are packed; the air is warm and stuffy and there is very little conversation as people wait their turn.


_46889319_zimbos226afp.jpg

Many applications for refugee
status are turned down



Mr Ngovu is in the queue that snakes outside; beads of sweat have formed on his face. He has had nothing to eat that day but he says he will not go home without being served - which looks unlikely to happen before the office closes.
He has been in South Africa for a year - trying to get a job but failing as he does not have legal documents. He is living in Thohoyandou, about 100km (62 miles) from Musina, with friends who sometimes get jobs at gardeners or painters, but they never get anything long-term because they do not have papers.
"I am looking for a job here so I can help my family back home. If I can get papers for asylum I can get a good job," he says. But unemployment is high in South Africa and he left school a year before graduating. With no official qualification, finding a job - even with legal documentation - will be difficult.
In a country of close to 50 million people, more than 23% of South Africa's citizens are without jobs. But between three and four million Zimbabweans are believed to have already crossed into South Africa.

Xenophobic fears

Tension in some townships and informal settlements with a large number of foreigners is on the rise again, following last year's spate of xenophobic attacks.


_46886533_blessedrugaru.jpg

I want to be able to build computers
from scratch and then I can fix
the broken computers in my country
Zimbabwean Blessed Rugaru, 21



Some 3,000 foreign nationals, mostly Zimbabweans, were recently driven from their homes in a township outside Cape Town - their shacks were set alight and their belongings destroyed. Ms Rugaru says fears of more attacks against Zimbabweans are never far from her mind. "I am worried that the attacks might happen again," she says. "Things are not good right now in Zimbabwe but I will go back, home is best." But she is prepared to stay in South Africa as long as it takes to get her refugee papers. "When I get asylum papers I will use them to apply for study bursaries here," she says. "I want to be able to build computers from scratch and then I can fix the broken computers in my country."

No guarantees


Both Ms Rugara and Mr Ngovu believe the answer to their troubles is being awarded refugee status. However, the authorities at the centre say only cases that have "merit" are considered. "South Africa is obliged by AU [African Union] laws to give permits to refugees, but most of these people do not qualify for refugee status," the senior official explains. "We cannot give refugee status to people who only leave their country because there are no jobs; these people are economic migrants not refugees," he says. Although many Zimbabwean asylum requests are rejected, until its economy starts to recover, people will continue to risk their lives crossing the crocodile-infested Limpopo river to earn the hard currency their families need to buy food back home.


Hali halisi ya jamaa na jirani zetu wana mahali kwa kukimbilia. Fasten your seat belts.







 
But I can see some sense of 'rule of law' in Kibaki's statement in justifying the revoking of ministers' sacking by Raila. Was Raila unaware of the limitations of his authority? Why did he ignore the 'consultation' element of the Reconciliation Accord, or is he playing Tom-and-Jerry' with the president? I commend the gentle manner in which the president handled the issue, I wouldn't be surprised if he sacked Raila for insubordination.
 
Back
Top Bottom