Kibali cha Ujenzi

Mtimkavuorg

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
655
Reaction score
527
Naomba nipate kujua juu ya kibali cha ujenzi maana nimeendeleza ujenzi pindi nikipata pesa kama inavyojulikana ujenzi aumaliziki Sasa ninani ametoa mamlaka ya kuchora kuta za watu kisa kibali "sitisha ujenzi adi kibali"ivi mama yetu anajua kama nyumba za watu zinachorwa kila uchwao je sheria ya Tanzania inasemaje juu ya kualibiwa kuta na viwanja avijapimwa!!maeneo ya chanika ukipandisha ukuta nikuchorewa tu.
 
Hyo ni sheria ndugu,ili kuepuka ujenzi holela,sio nyumba tu bali ata ukitaka kujenga fensi ya tofali lazima uwe na kibali,huwa haizingatiwi sana na nyingi zimejaa rushwa,hao waliokuchorea ni serikali ya mtaa so ukiwa na senti kdg ukiwapa wanakuruhusu,. Ukikaza mwende kisheria utapoteza hela na kibali utasota sana kukipata coz process imejaa urasimu sana.
 
Heshimu Sheria na taratibu sio hadi ujisikie ndipo ufuate sheria. Ujenzi lazima kukaguliwa ili upewe maelekezo ya kitaalamu kama kuna dosari.

Kuna makosa mengi unaweza yaepuka kama utazingatia kibali.
 
...Nilikuwa na ujenzi, nikapigiwa simu na fundi kuna jamaa wamefika wanataka kibali cha ujenzi, wasimamishe kazi mpka waone kibali, huku zege lishakologwa, kuongea nao wanataka laki 2, aiseee pambana mpka 70, nikawapa 50, nikawambia 20 watanidai... ...yaani kazi yao kupita mitaani kuangalia wapi kunajengwa wanachukua chambi chambi wanasepa.
 
Njaa sana.

Sasa hiyo laki mbili inawasaidia nini?
 
Max yas
Kijana jiongezeee
 
WA madhabahuni atakula madhabahuni HAPO ndipo Mungu kawapa baraka zaooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…