herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
asyeeKuna recipe na mapishi ya bamia mbali mbali na hunoga sana kwa mlaji. Hadi juice ya bamia ipo........
Hapo unahitaji ujuzi tuu, siku hizi kila kitu ni mali ghafi hakuna taka, ulichonacho unaji - upgrade unajisosomola na wewe sio kuona ndo mwisho wa dunia.
Kuna somo na darasa la kutumia na kuandaa mapishi ya bamia ili mlaji asitamani mihogo matango wala ndizi bukoba.
Uamuzi ni wako....... kujifunza kupika au kwenda kukombelezea mboga kwa jirani uzidi kusimangwa.
Kasie.
hata kama hela ipo bado ntafeel inferior. nataka permanent solution ili hata hela zkiniacha niendelee kula utamu wa hamu na mashamushamu kama pweza wa bahari ya shamuTafuta hela ukiwa na hela hicho kibamia chako kwa mademu kitaonekana bonge la muhongo
uzuri wa kibamia kinapovimba linakuwa bonge la muwa. tatizo likilegea linakosa mvuto kabisa hadi wakati mwingine natamani nilitupilie mbali kabisaYaezekana ndo ulivo zaliwa nacho hicho kibamia, hivyo kula vyakula vyenye nguvu, punguza pombe kama wewe ni mtumiaji,then ongeza juhudi za mbwe mbwe ukiwa kitandani.(ujuzi) Na uache puli itakula kwako usipokua makini..
kuna ujiniasi wa kada mbalimbali. wa kwangu ni wa kutongoza tu ndugu yanguGenius kuna kitu anashindwaga?
sawa mkuu kwani dawa z Asili nazo tishio kwa kizazi changu dhaifu?Ondoa aibu usoni, nenda kawaone wataalamu wa afya hospitalini,
NB: usikurupuke kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume, mengi ni kanjanja utachanganyiwa na viagra ndo utazidi kujifia...
Tatizo likizidi waone wataalam wa tiba mbadala kama kina mwaka,sigwa n.k
Mhmhmj! We Mama kiboko kabisa. Unajua kufunza sana. Unafaa uwe Kungwi. Siyo kwa maneno hayo,nakupa LIKE ya nguvu kabisa. Hakika umenikoshaKuna recipe na mapishi ya bamia mbali mbali na hunoga sana kwa mlaji. Hadi juice ya bamia ipo........
Hapo unahitaji ujuzi tuu, siku hizi kila kitu ni mali ghafi hakuna taka, ulichonacho unaji - upgrade unajisosomola na wewe sio kuona ndo mwisho wa dunia.
Kuna somo na darasa la kutumia na kuandaa mapishi ya bamia ili mlaji asitamani mihogo matango wala ndizi bukoba.
Uamuzi ni wako....... kujifunza kupika au kwenda kukombelezea mboga kwa jirani uzidi kusimangwa.
Kasie.
kesho nikionana naye ntafNyaje. tena akiwasimulia mashoga zake ? ukizingatiA nikiwa nmevaa suruali naonekana bonge la mkunaji kumbe nazi inakunwa kivulana tuKama unaona aibu ukimaliza tu unajifunika shuka chap chap
kitu cha pweza na juice ya miwa nayo imekaajepole sana kula vyakula kama dona ugali wa muhogo na vingine vyenye kuupa mwili nguvu na fanya mazoezi ya viungo na hata kukimbia hii itasaidia sana kua stable
ngoja nianze kujifunza mapishi mbalimbali kwa huu mchele mmoja. naamini round ijayo nitaikuna nazi hadi yenyewe iseme basi mkuu unajua shughuli.Kuna recipe na mapishi ya bamia mbali mbali na hunoga sana kwa mlaji. Hadi juice ya bamia ipo........
Hapo unahitaji ujuzi tuu, siku hizi kila kitu ni mali ghafi hakuna taka, ulichonacho unaji - upgrade unajisosomola na wewe sio kuona ndo mwisho wa dunia.
Kuna somo na darasa la kutumia na kuandaa mapishi ya bamia ili mlaji asitamani mihogo matango wala ndizi bukoba.
Uamuzi ni wako....... kujifunza kupika au kwenda kukombelezea mboga kwa jirani uzidi kusimangwa.
Kasie.
hii kitu inaweza kubadilika. ngoja wabadilishaji waje kunipa teknikiNi kujidharau tu, usijiangaishe na kitu ambacho huwezi kukibadilisha,ndivyo ulivyoumbwa chagua moja jikubali au uzeeke na mastress yako.
kitu cha pweza na juice ya miwa nayo imekaaje
Binafsi siwez kuliongelea kitaalamu ila nnavojua kuna wajanja wajanja cku iz wanachanganya na viagra,sawa mkuu kwani dawa z Asili nazo tishio kwa kizazi changu dhaifu?
Hapo sasaGenius kuna kitu anashindwaga?
Kweli we nijambazi iseeTafuta hela ukiwa na hela hicho kibamia chako kwa mademu kitaonekana bonge la muhongo
Itabidi utafute dem ndezi ndezikesho nikionana naye ntafNyaje. tena akiwasimulia mashoga zake ? ukizingatiA nikiwa nmevaa suruali naonekana bonge la mkunaji kumbe nazi inakunwa kivulana tu
Mhmhmj! We Mama kiboko kabisa. Unajua kufunza sana. Unafaa uwe Kungwi. Siyo kwa maneno hayo,nakupa LIKE ya nguvu kabisa. Hakika umenikosha