Kibanda cha kupigia nyungu Muhimbili bado kipo?

Kibanda cha kupigia nyungu Muhimbili bado kipo?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hii nchi ina vituko sana aisee!

Yaani kila nikikaa na kukifikiria hiki kibanda cha kupigia nyungu hapo Muhimbili naishia kucheka.

Hivi lilikuwa ni wazi la nani hasa kujenga hicho kibanda?

391E946B-9B28-492E-A447-2483AD5BB074.jpeg

Na ni kweli watu walikuwa wanaenda hapo kupiga nyungu?

Kuna yeyote humu JF aliyeenda kupiga nyungu hapo Muhimbili?

Shit is funny AF!
 
MSIJIFANYE KUKANDWA KWA KUWA SASA KUNACHANJO..KUMBUKA HIZI TIBA ASILIA ZIMEOKOA WATU WENGI
 
Safi sana Muhimbili kwa kuweka all options on the table. Kwa taarifa yako mkuu Nyani mpaka sasa sisi huku vijijini tunapiga nyungu kwa kwenda mbele. Tukisubiri hizo chanjo zenu, by the time zinatufikia huku vijijini tutakuwa tumeshakufa wote.
 
Nyungu ilikua uchuro tu.

Ila tiba asili kama malimao, tangawizi, pilipili na vitunguu saumu vilituvusha wimbi la kwanza na la pili.
 
Hii nchi ina vituko sana aisee!

Yaani kila nikikaa na kukifikiria hiki kibanda cha kupigia nyungu hapo Muhimbili naishia kucheka.

Hivi lilikuwa ni wazi la nani hasa kujenga hicho kibanda?

View attachment 1866742
Na ni kweli watu walikuwa wanaenda hapo kupiga nyungu?

Kuna yeyote humu JF aliyeenda kupiga nyungu hapo Muhimbili?

Shit is funny AF!
Maisha yanakimbia resi sana, kitakua kimewekwa kwenye jumba la makumbusho kwa ajili ya kutunza historia ya tanganyika
 
Hii nchi ina vituko sana aisee!

Yaani kila nikikaa na kukifikiria hiki kibanda cha kupigia nyungu hapo Muhimbili naishia kucheka.

Hivi lilikuwa ni wazi la nani hasa kujenga hicho kibanda?

View attachment 1866742
Na ni kweli watu walikuwa wanaenda hapo kupiga nyungu?

Kuna yeyote humu JF aliyeenda kupiga nyungu hapo Muhimbili?

Shit is funny AF!
Wakikiangalia wanaona aibu
 
Safi sana Muhimbili kwa kuweka all options on the table. Kwa taarifa yako mkuu Nyani mpaka sasa sisi huku vijijini tunapiga nyungu kwa kwenda mbele. Tukisubiri hizo chanjo zenu, by the time zinatufikia huku vijijini tutakuwa tumeshakufa wote.

labda kweli kilifanya kazi kwa kuwapa false hopes watu kuwa kibanda kinatibu,hivyo hofu ya kufa na corona ikawa haipo,na hofu inasababisha magonjwa ...so kukiwa hamna hofu watu wanakua na afya na amani...
 
Back
Top Bottom