DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 561
- 900
Moja kwa moja swaaaaah kwenye mada
Niko uwanja sahihi unashangaa baiskeli kuingia kituo chakujazia mafuta
Au unashangaa kiwanja cha mpira wamiguu nimeingia na kama mchezaji wa gofu basiii ata bien alisema apa ni mbwembwe
Wadau wasiasa huku kwenye kiwanja chenu nako kibango bhana kimetaradadi bila kibango tajiri hajulikani?
Hivi ata familia inahitaji kibango watoto watambue uwepo wa baba?
Baba akinunua chumvi kibango, akinunua sukari kibango, akilipa Ada kibango, akitoa familia mtoko kibango, baba akienda shamba kibango n.k.
Swali ni je familia haioni anayofanya baba mpaka kiwepo kibango au kuna uwezekano kibango kinaongea sana kuliko anayoyafanya baba maana kibango kimeshikiliwa juu sana.
Natoka kwenye mada kama nilivyoingia
Niko uwanja sahihi unashangaa baiskeli kuingia kituo chakujazia mafuta
Au unashangaa kiwanja cha mpira wamiguu nimeingia na kama mchezaji wa gofu basiii ata bien alisema apa ni mbwembwe
Wadau wasiasa huku kwenye kiwanja chenu nako kibango bhana kimetaradadi bila kibango tajiri hajulikani?
Hivi ata familia inahitaji kibango watoto watambue uwepo wa baba?
Baba akinunua chumvi kibango, akinunua sukari kibango, akilipa Ada kibango, akitoa familia mtoko kibango, baba akienda shamba kibango n.k.
Swali ni je familia haioni anayofanya baba mpaka kiwepo kibango au kuna uwezekano kibango kinaongea sana kuliko anayoyafanya baba maana kibango kimeshikiliwa juu sana.
Natoka kwenye mada kama nilivyoingia