Kibao kilivyogeuka

Bado ni mapema sana kumhukumu

tuwe na subira

Twende na Mama Samia mpaka 2030
 
Being a President is tantamount to being a dustbin

It is not easy to maintain a clean file.

Samia should only do what she thinks is right and not what others thinks is right neither trying to impress anyone.

[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 

[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Mkuu huenda upo sahihi, tukifany hesabu kizazi Cha ujamaa kip?? Kizazi chote kilichozaliwa miaka 1970-1980. Then baada ya hapo ndp tutakuwa na kizaz kipya,

Sasa hicho kizaz ndo kinaongoza maan kinabtn miaka 40+ Sasa ukisema mpka kiondoke means mpka mwaka 2035 kwa maana hawa wenye miaka 40 watakuwa wamepungua ama hawana uwezo wa kuongoza, so far tinamia zaidi ya 15 kuwa na subra....
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
NDEZI wa LUMUMBA katika uzwazwa wako
 
Being a President is tantamount to being a dustbin

It is not easy to maintain a clean file.

Samia should only do what she thinks is right and not what others thinks is right neither trying to impress anyone.
Ever seen a self operation remote? Only robots are automated.
 
Kwani unajisikiaje kumwita Rais wako dikteta wakati siyo kweli...unajisikiaje raha since ndiyo?
 
Inaonekana unaakili kidogo hasa kwenye nyekundu. Baada ya hapo dishi limeyumba, nenda hospitali.

Kusema madhaifu ya CDM, siyo kwamba sioni madhaifu ya CCM
Unaona ulivyo kubwa la wapumbavu? Wawezaje kuipima akili iliyokuzidi ilihali Yako ni kiduchu? Hebu mfanye haraka kurudi mirembe mlikotoroka Tiba mkidhani humu jf tunatibu wagonjwa wa akili!
Upumbavu wako unaanzia hapa:-
Kama kweli unaujua na kuona uchafu wa ccm unayoiabudu, kimekuzuia Nini kuanza kuusafisha kabla ya kuj kuibwekea cdm? Busara huanzia pale ulipo na ikipea huvuka mipaka! Unaona busara Gani kuusema uchafu wa jirani huku kwako kunanuka uvundo? Kajifunze Tena kuujenga hoja ndio uje!
 
wewe ni mpuuzi siwezi kujadiliana na mtu kama wewe
 
ni mpuuzi siwezi kujadiliana na mtu kama wewe
Tena ukiona Uzi wangu uukimbie Kwa Kasi maana huna uwezo wa kuhoji nilichoandika kwani wewe ni incompetent with low thinking capacity!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…