Kibao kilivyogeuka

Kibao kilivyogeuka

Rais Samia hajageuka, ni chadema ndio wamegeuka baada ya kuona mama hawanyenyekei kama walivyotarajia.
Rais aliahidi kukutana nao, wao wakataka wampangie tarehe ya kukutana, uliona wapi ujinga kama huo?
Walidhani kwa kuwa ni mpole, tofauti na Magufuli aliyekuwa mkali na mwenye misimamo isiyoyumba, basi wangetumia huo mwanya kumwendesha wanavyotaka. Matokeo yake wamekuta ni mpole lakini ana msimamo, ndo hapo wakaamua kulianzia: wakamzingua kwa kumpa ultimatums, akajibu mapigo, sasa ni kuzinguana tu.
Kudai katiba mpya ni kuzingua? CHADEMA hawana kosa lolote hapo zaidi ya nyinyi wanufaika wa uonevu kutengeneza fursa mpate kujinufaisha kupitia huu unyanyasaji kwa CHADEMA
 
Being a President is tantamount to being a dustbin

It is not easy to maintain a clean file.

Samia should only do what she thinks is right and not what others thinks is right neither trying to impress anyone.
Busara kubwa sana hii kiongozi!

Yaani atetereke kwa maneno ya mitandaoni?? Atakuwa kiongozi wa namna gani sasa....... hayo yapo hata afanye nini na yatapita. Asimamie kwenye malengo yake
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania [emoji1787].

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Duh wewe spana zako huwa hazina direction yaani leo unamnanga mama, ! Your favorite kabisa kabisa toka mwanzo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini humpendi huyu kama ulivyokuwa unamuhusudu mwendazake jiwe?!
Kuna watu wanajitahidi sana kumtetea!

Mara wadai anashauriwa vibaya.

Mara waseme anahujumiwa na Sukuma Gang.

Yeye ndo Rais. The buck stops with her.

Excuses are the tools of the weak and incompetent. They build bridges to nowhere and tunnels to nothingness... Those who excel in them seldom do in anything else, therefore, there are no excuses.
 
Kudai katiba mpya ni kuzingua? Chadema hawana kosa lolote hapo zaidi ya nyinyi wanufaika wa uonevu kutengeneza fursa mpate kujinufaisha kupitia huu unyanyasaji kwa chadema
Kumbe hata kuelewa nako ni shida 🤔🤔
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standard za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Tumuunge mkono atuongoze vema. Kuongoza sio lelemama. Kuongoza watu Mil 60 sio kitu rahisi sababu unajaribu kuifurahisha familia fulani na wapambe wake. Watanzania watadai lililo bora.
Ndio maana nafikiria ahakikishe katika kipindi chake, asije kupata kashfa za aina ile wapambe wake waliyotengeneza. Itampa wakati mgumu sana.

Ila wapinzani pia mbona wanamchokoza kwa kulazimisha katiba mpya bila hata kuwa na taratibu?
 
Standard za Tanzania kwenye mambo mengi ni tofauti kabisa ni nchi nyingine zote dunia. Nadhani kuna mahali tulikosea kwenye elimu watu wakawa wanamaliza shule bila kuelimika. Japokuwa Internet nayo imesaidia ku-expose uwezo wetu kiakili lakini nina uhakika kabisa watu waliosoma enzi za kina Sinde Warioba wako tofauti kabisa. Tukio au maoni ya kawaida kabisa yanaweza kuonekana kama uvumbuzi mpya tena wenye thamani kubwa. Na viongozi wetu ni reflection yetu wenyewe.
Uko sawa mkuu.
 
Rais Samia hajageuka, ni chadema ndio wamegeuka baada ya kuona mama hawanyenyekei kama walivyotarajia.
Rais aliahidi kukutana nao, wao wakataka wampangie tarehe ya kukutana, uliona wapi ujinga kama huo?
Walidhani kwa kuwa ni mpole, tofauti na Magufuli aliyekuwa mkali na mwenye misimamo isiyoyumba, basi wangetumia huo mwanya kumwendesha wanavyotaka. Matokeo yake wamekuta ni mpole lakini ana msimamo, ndo hapo wakaamua kulianzia: wakamzingua kwa kumpa ultimatums, akajibu mapigo, sasa ni kuzinguana tu.
Sawa lakini hii ya kuita mtu “gaidi”imepita mipaka.
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
Unajua watekaji au madikteta hawanaga ukomo, siku wakikufikia usije kulalamika humu
 
Being a President is tantamount to being a dustbin

It is not easy to maintain a clean file.

Samia should only do what she thinks is right and not what others thinks is right neither trying to impress anyone.

A political leader is like a diaper. Once (s)he takes oath of office, (s)he won’t remain clean!
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standards za baadhi ya Watanzania [emoji1787].

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Hayo ni mawazo yako,na katiba na ubinadamu pia unakupa haki hiyo,lakini ukweli ni tofauti kabisa,na wala usifikirie haya yote hayaoni na hayasikii,lakini kumbuka ana facts zote mkononi mwake.

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mwendazake nilishapigwa BAN kama mara nne au tano kwa kumuita dikteta. Nafurahia kuona JF wameamua kuacha ukweli wa kinachoendelea nchini uchukue mkondo wake. Eti samia kajificha wapi? Kazamia Rwanda!? Au kaenda kujificha dhidi ya COVID-19!?
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standards za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
 
Anataka kufanya REBRANDING kwa kuwa Tanzania tuna Rais wa kwanza wa jinsia ya kike ambaye ni Dikteta ná dikteta wa kwanza mwanamke Africa.
Wawekezaji wanataka kuja kwa kuwa kuna Rais Mwanamke.
 
View attachment 1867792

Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike.

Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi.

Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na kimataifa, kwa kutumia uzoefu wetu huo, tulijua tu kuwa haitochukua muda kwa zile sifa alizokuwa anapewa kugeuka kuwa lawama.

Yaani alikuwa hadi anapewa sifa za uongo [mfano ni kuongea Kiingereza kizuri kilichonyooka. Ukweli ni kwamba Kiingereza chake si kizuri na hakijanyooka. Hana tu lafudhi nzito].

Kuna sehemu niliona watu wakimuita eti ni ‘genius’ kwa vile tu alikuwa anaongea kiupole bila kufokea na alivyosema watu wasibambikiwe kesi!

Hizo ndo standards za baadhi ya Watanzania 🤣.

No wonder tupo kwenye hali tuliyonayo.
Blogs uchwara za watu wa nje ni za kupuuzwa.

Kwani akiwa dictator wao inawauma nini?
 
Kabla hujaona ya cdm yatazame ya ccm kwani huko kumejaa uozo na kumeoza! Hiyo taasisi ya urais imevamiwa na wasaka vyeo pamoja na mafisadi! Hilo kwako siyo tatizo Bali cdm ndio kichaka Cha kujificha ili uachie kimba linalokubana! Amka na acha kuimba mapambio yaliyopitwa na wakati kwani wote tunaumia!
Inaonekana unaakili kidogo hasa kwenye nyekundu. Baada ya hapo dishi limeyumba, nenda hospitali.

Kusema madhaifu ya CDM, siyo kwamba sioni madhaifu ya CCM
 
Back
Top Bottom