Kibao kipya cha linah, "Kosa sina", ni balaaa

Kibao kipya cha linah, "Kosa sina", ni balaaa

Hivi mmesikia huu wimbo mpya wa linah unaitwa kosa sina? Aiseeh ni shigidaa, linah Ana sauti mubashara, dah ile Sauti sio ya nchi hii hakyamungu, mtoto anaweza mpaka anaboa, hongera sana linah, now unarudi kwenye level zako za fitina na oletemba.
weka audio au video basi
 
Wimbo siyo mzuri ila kuna viji maneno vichache ndio vzuri kiaina. So hata sja stuka
 
Huu wimbo mtunzi ruge alikua ampe yule binti aliechafua hali ya hewa THT then kama kawa baada ya binti kunyea kambi, mzee baba ruge akamweka lina aungurumishe jisongi hilo, nae hajafanya ajizi ameutendea haki utunzi wa mkurugenzi
 
Huo wimbo ni mkali sana ila ni mkali kwa wanaojua muziki. Bahati mbaya wengi waliochangia hapa ni wale wanaopenda nyimbo wanazolazimishwa kuzipenda.
Now you talking, waambie hao
 
Back
Top Bottom