Kibarua cha Robertinho kipo hatarini

Kibarua cha Robertinho kipo hatarini

Uongozi wa Simba Umeamua, Uongozi Wa Simba Umewasha Moto, Uongozi wa Simba This Time Around hawacheki na Mtu yeyote, Uongozi wa Simba This Time Ni Kimodaaa, Ni waya Ya Umeme.

Kwa Usajiri unaofanywa na simba hakika Sio Mapendekezo ya Kocha, Ni wao Kwa Utashi wao wameangalia Timu kwa Misimu Miwili ilikwama wapi wakaamua Kushusha Vifaa vya Kazi, Katika huu Usajiri Sidhani hata yule Scout Mpya aliye Tangazwa na Simba Kama Ameshiriki kuchagua hawa Wachezaji.

Makocha Mara Nyingi wachezaji wapya wanapo kuja kwenye timu huwa na Mapenzi yao kuliko uhalisia wa Viwango vya Mchezaji, Kocha Anaweza Kumpenda Mchezaji Na Kuona Kitu ambacho wengine wote hatuoni, Lakini Hawa Makocha Pia huwa na Eagle, Yaani Mchezaji Maarufu au aliye semwa sana katika usajiri wake Mara nyingi huamua kutokumtumia Kwa Makusudi Kabisa.

Kwa Upande wa Robertinho Wakati anafika Alimkuta Chama Akiimbwa sana Na Phiri Mechi yake ya kwanza Tuuu alimtoa Chama Kipindi Cha Kwanza, Bila Sababu za Msingi, Mpaka mashabiki walipo ingilia Kati tofauti na Hapo chama Benchi ndio lilikuwa Linamuitaaa, Same kwa Phiri Pamoja na Majeruhi lakini kuimbwa kwakwe sana Kumlifanya Robertinho Kumuweka Benchi Bila Sababu za Msingi hata wakati ambao hakuwa na Majeruhi, Hii Tabia Ipo Kwa Makocha Wengi Duniani……..

Sasa Usajiri wa Simba Msimu huu Umevaliwa Njuga na Viongozi waandamizi wa Simba, Na Wachezaji wote Usajiri wao Unaimbwaaa, Je Robertinho Anatafutiwa sababu ya Kufukuzwa? Leo Simba Tumetangaza Kumsajiri Luis M, Konde Boy, Ambaye ni Kipenzi cha wanasimba, Ni Kipenzi cha Rais Wa Heshima wa Simba na Tajiri namba 13 Barani Afrika Mo Dewji, Bila Kificho Boss anampenda Luis, Na Robertinho Kumuweka Benchi itakuwa ni Kujitafutia Lawama na Kuweka Kibarua Chake Mashakani.

Najaribu kuangalia namna ya upangaji kikosi wa Kocha wetu, Namna Anavyo Fanya Sub zake na Aina Ya Mpira anao Fundisha, Naangalia Usajiri wa Simba uliofanywa na aina Ya wachezaji walio sajiriwa naona Kama Ni Kama Robertinho Anakomolewa Kimakusudi na Viongozi wa Simba, Huenda Mechi Tano za Mwanzo ukijumlisha na Ngao ya Jamii, Zikaamua Hatma yake ya kuendelea kuwepo Simba au kutokuwepo. Huu ni Mtazamo wangu wa Awali, Simba Hawampangii Kikosi Kocha ila Kocha Anakaa kwenye Kikaango kama Itatokea Simba Kutokufanya vizuri Mechi 5 za Mwanzo huku akiwa na wachezaji Wenye Majina Makubwa Kiganjani mwake.

Fikiria Amuweke Benchi Akram kisa anataka Kibu Denis Acheze, Au Amuweke Benchi Onana Kisa Anataka Wazee wacheze, Au Ngoma Akae Benchi, Au Asimchezeshe Luis kama sio kutafuta kufukuzwa kazi. Nina wasiwasi na Robertinho huwenda Kikosi Ni kikubwa kuliko uwezo wake.


Muda utaongea Hadi September tutakuwa Tumejua Hatma ya Kocha wetu. Kila La Kheri Robertinho.
Wachezaji wamesajiliwa na Mo na sio kocha kwahiyo mashabiki wa Simba msitegemee mafanikio
 
HELA YA SUPER CUP.
BILIONI 5
NDIO INASAJILI.

MO HAJATOA HATA MIA.
ANAWADANGANUA WAJINGA.
 
Huu Uzi wa Mbumbumbu fc mbona najitahidi kuusoma na comments zake ila sielewi wanachoongea hapa Makolo!

Sijaona zikitajwa Mashine kama Skudu Wala Aziz Ki hivyo huu Uzi ni batili!
 
Uongozi wa Simba Umeamua, Uongozi Wa Simba Umewasha Moto, Uongozi wa Simba This Time Around hawacheki na Mtu yeyote, Uongozi wa Simba This Time Ni Kimodaaa, Ni waya Ya Umeme.

Kwa Usajiri unaofanywa na simba hakika Sio Mapendekezo ya Kocha, Ni wao Kwa Utashi wao wameangalia Timu kwa Misimu Miwili ilikwama wapi wakaamua Kushusha Vifaa vya Kazi, Katika huu Usajiri Sidhani hata yule Scout Mpya aliye Tangazwa na Simba Kama Ameshiriki kuchagua hawa Wachezaji.

Makocha Mara Nyingi wachezaji wapya wanapo kuja kwenye timu huwa na Mapenzi yao kuliko uhalisia wa Viwango vya Mchezaji, Kocha Anaweza Kumpenda Mchezaji Na Kuona Kitu ambacho wengine wote hatuoni, Lakini Hawa Makocha Pia huwa na Eagle, Yaani Mchezaji Maarufu au aliye semwa sana katika usajiri wake Mara nyingi huamua kutokumtumia Kwa Makusudi Kabisa.

Kwa Upande wa Robertinho Wakati anafika Alimkuta Chama Akiimbwa sana Na Phiri Mechi yake ya kwanza Tuuu alimtoa Chama Kipindi Cha Kwanza, Bila Sababu za Msingi, Mpaka mashabiki walipo ingilia Kati tofauti na Hapo chama Benchi ndio lilikuwa Linamuitaaa, Same kwa Phiri Pamoja na Majeruhi lakini kuimbwa kwakwe sana Kumlifanya Robertinho Kumuweka Benchi Bila Sababu za Msingi hata wakati ambao hakuwa na Majeruhi, Hii Tabia Ipo Kwa Makocha Wengi Duniani……..

Sasa Usajiri wa Simba Msimu huu Umevaliwa Njuga na Viongozi waandamizi wa Simba, Na Wachezaji wote Usajiri wao Unaimbwaaa, Je Robertinho Anatafutiwa sababu ya Kufukuzwa? Leo Simba Tumetangaza Kumsajiri Luis M, Konde Boy, Ambaye ni Kipenzi cha wanasimba, Ni Kipenzi cha Rais Wa Heshima wa Simba na Tajiri namba 13 Barani Afrika Mo Dewji, Bila Kificho Boss anampenda Luis, Na Robertinho Kumuweka Benchi itakuwa ni Kujitafutia Lawama na Kuweka Kibarua Chake Mashakani.

Najaribu kuangalia namna ya upangaji kikosi wa Kocha wetu, Namna Anavyo Fanya Sub zake na Aina Ya Mpira anao Fundisha, Naangalia Usajiri wa Simba uliofanywa na aina Ya wachezaji walio sajiriwa naona Kama Ni Kama Robertinho Anakomolewa Kimakusudi na Viongozi wa Simba, Huenda Mechi Tano za Mwanzo ukijumlisha na Ngao ya Jamii, Zikaamua Hatma yake ya kuendelea kuwepo Simba au kutokuwepo. Huu ni Mtazamo wangu wa Awali, Simba Hawampangii Kikosi Kocha ila Kocha Anakaa kwenye Kikaango kama Itatokea Simba Kutokufanya vizuri Mechi 5 za Mwanzo huku akiwa na wachezaji Wenye Majina Makubwa Kiganjani mwake.

Fikiria Amuweke Benchi Akram kisa anataka Kibu Denis Acheze, Au Amuweke Benchi Onana Kisa Anataka Wazee wacheze, Au Ngoma Akae Benchi, Au Asimchezeshe Luis kama sio kutafuta kufukuzwa kazi. Nina wasiwasi na Robertinho huwenda Kikosi Ni kikubwa kuliko uwezo wake.


Muda utaongea Hadi September tutakuwa Tumejua Hatma ya Kocha wetu. Kila La Kheri Robertinho.
Sio usajiri, sema usajili.
 
Walimu hawana maana. Anakwambia msajili huyu na yule, halafu yeye mwenyewe akipata ofa nzuri anaondoka na kuwaachia mizigo ya wachezaji wake. Kumbuka kocha Maki, akapendekeza aletewe Outarra na Okwa, baada ya wiki chache tu akapata ofa sijui Libya huko au wapi, akaondoka na kutuachia mizigo. Heri viongozi wasajili wenyewe maana ndio wenye timu. Kocha anaondoka muda wowote bila usajili, mchezaji aliyewaachia kuondoka hadi dirisha lifike
Kocha husajili kutokana na falsafa yake ya soka!! Mchezaji anaweza kuwa mzuri kwa watazamaji lakini akawa haendani na falsafa ya kocha!! Inabidi kocha apewe nafasi ya kupendekeza wachezaji anaowataka ili AWAJIBIKE VIZURI NA MATOKEO ATAKAYOYAPATA. Ukimchagulia wachezaji kochja hatawajibika na matokeo ya uwanjani, bali viongozi ndio watakaowajibika na matokeo hayo!!
 
Kocha husajili kutokana na falsafa yake ya soka!! Mchezaji anaweza kuwa mzuri kwa watazamaji lakini akawa haendani na falsafa ya kocha!! Inabidi kocha apewe nafasi ya kupendekeza wachezaji anaowataka ili AWAJIBIKE VIZURI NA MATOKEO ATAKAYOYAPATA. Ukimchagulia wachezaji kochja hatawajibika na matokeo ya uwanjani, bali viongozi ndio watakaowajibika na matokeo hayo!!
Kocha peke yake hawezi kusajili wachezaji wotewote. Kuna wachezaji wengine wanasajiliwa na "technical bench", wengine na viongozi.
 
Kocha husajili kutokana na falsafa yake ya soka!! Mchezaji anaweza kuwa mzuri kwa watazamaji lakini akawa haendani na falsafa ya kocha!! Inabidi kocha apewe nafasi ya kupendekeza wachezaji anaowataka ili AWAJIBIKE VIZURI NA MATOKEO ATAKAYOYAPATA. Ukimchagulia wachezaji kochja hatawajibika na matokeo ya uwanjani, bali viongozi ndio watakaowajibika na matokeo hayo!!
Kocha akisajili halafu akahama baada ya mwezi mmoja, hao wachezaji aliowasajili watacheza falsafa ya nani?
 
Back
Top Bottom