The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
Kwa kijana anaetafuta kibarua cha kufanya apate hela ya kuishi kwa siku ya kesho anakaribishwa kujiunga nami.
Kibarua ni Kufyeka/Kusafisha/Kuchoma Moto Shamba la Heka Mbili.
Shamba Lipo Mlandizi, Usafiri Kuja na Kurudi ni Juu yangu.
Chakula: Asubuhi na Mchana ni Juu yangu.
Idadi ya wanaohitajika "WAWILI" Posho kwa kazi ni 10,000 per day.
Kwa muhitaji karibu PM,Tupange namna tunakutana POst hii ni ya Leo Date 22 aug 2023 itakua expired kufika Date 23 aug 2023
Kwa mtakaochelewa iona zingatieni hilo msije mkaja PM maana post haitokua na Kazi tena.
Mtu anae hitaji KULIMA akaribie Nagawa hili shamba kwa mkulima atakaehitaji ili aliweke safi muda wote alime mazao anayotaka.
Naweza Kukulipia KODI ya chumba nikakuwekea vitu vya kukaa ndani ili usimamie shamba tu, Mahtaji mengine Juu yako.
Muhitaji Karibu PM.
Kibarua ni Kufyeka/Kusafisha/Kuchoma Moto Shamba la Heka Mbili.
Shamba Lipo Mlandizi, Usafiri Kuja na Kurudi ni Juu yangu.
Chakula: Asubuhi na Mchana ni Juu yangu.
Idadi ya wanaohitajika "WAWILI" Posho kwa kazi ni 10,000 per day.
Kwa muhitaji karibu PM,Tupange namna tunakutana POst hii ni ya Leo Date 22 aug 2023 itakua expired kufika Date 23 aug 2023
Kwa mtakaochelewa iona zingatieni hilo msije mkaja PM maana post haitokua na Kazi tena.
Mtu anae hitaji KULIMA akaribie Nagawa hili shamba kwa mkulima atakaehitaji ili aliweke safi muda wote alime mazao anayotaka.
Naweza Kukulipia KODI ya chumba nikakuwekea vitu vya kukaa ndani ili usimamie shamba tu, Mahtaji mengine Juu yako.
Muhitaji Karibu PM.