Kibatala amhoji Nusrat Shabani Hanje kesi ya Wabunge 19 wa CHADEMA

Nonsense.
 
ila mazingira yamemweka kwenye hali ambayo asingechomoa kamwe
Hivi katika mahojiano hayo, Kibatala ali achieve contradiction ipi? labda sijui au sielewi maana sijaona. I am not impressed with the impeachment questions asked/posed!
Naamini Kibatala is exceptionally good, good indeed, lkn jana inawezekana I did not follow up well! the fault is on my side may be! Erythrocyte
 
Rafiki safari hiinimetoka mtupu niseme kweli. Ile ya Mbowe it was nicely impeached, very clearly and interesting!
Yeah hii ya hapa ina shida kidogo ya mpangilio kwenye uwasilishaji wake
 
Rafiki safari hiinimetoka mtupu niseme kweli. Ile ya Mbowe it was nicely impeached, very clearly and interesting!
Tatizo la hii ni uwasilishaji tu. Lakini Kibatala amefanya kazi yake vizuri tu, angalia yafuatayo;
1.Hanje alipata Taarifa au hakupata?
2.Tehama ni njia halali Kwa Katiba ya CHADEMA au haitambuliki?
3.Whatsap ni TEHAMA au sio?
4.Hanje anasema anaitambua WhatsApp lakini hajazoea kuiona ikitumika CHADEMA.
5.Hanje katika kiapo anapinga Kamati Kuu kutoa ufafanuzi kwenye Baraza kuu maana anaona kufanya hivyo ni kama Mahakama moja kwenda nyingine kumhukumu Mtu Huyo Huyo. Ndo akaulizwa swali kuna kosa mwendesha mashtaka kufafanua Kwa nini kamshtaki mtuhumiwa? Na kaelezwa kwenye Katiba ya CDM kuna kipengele kinazuia Kamati Kuu kuwa sehemu ya Baraza Kuu? Mfano, Samia akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM atazuiwa kuongoza Mkutano Mkuu wa CCM?
6.Kiapo chake Kwa Wakili/mwanasheria aliapia wapi? Anasema yeye hajui chochote maana alishitukia tu anakula kiapo cha ubunge na hajawahi kuapa. Hapa ameestablish uharamu wa kiapo maana Kisheria huwezi kuapa Kwa niaba.

Hii ni Kwa uchache, bado huoni contradiction?
 
Kiapo chake Kwa Wakili/mwanasheria aliapia wapi? Anasema yeye hajui chochote maana alishitukia tu anakula kiapo cha ubunge na hajawahi kuapa. Hapa ameestablish uharamu wa kiapo maana Kisheria huwezi kuapa Kwa niaba.[emoji23]
 
Nonsense.
Sawa tusije kusikia makelele ya CCM wanatubia kura, CCM wako site huku wameisha andaa watu wao kutoka mashinani, Chadema mnashinda mahakamani kusikiliza maswali ya Kibatala,nakesi hii kesi hii mpaka 2024 ndio mtajua CCM ni watu wanamna gani.
 
Ungekuwa mkristo kweli usingeandika unafiki wako hapa.Msingi wa mkristo ni ukweli.Weye ni kaongo unayeongozwa kwa kuichukia CHADEMA.
Hapo hakuna chuki ndugu nimesema ukweli nimekuwa upinzani toka enzi Mrema ninawajua CCM vizuri,na namjua shetani na hila zake, endelea kushupaza shingo,msije mkaleta visingizio vya miaka yote ya uchaguzi, eti CCM wanaibaga kura, wakati mnashindwa wenyewe kujipanga.
 
Nachoona hizi kesi uchwara zinawapa platform Chadema Kuendelea kuwa masikio na machoni pa watu.

Kila mtego wanaouleta kudidimizs hiko chama inadunda.

Nawapomgeza Chadema kwa kushikilia msimamo wao dhidi ya ule uchafuzi wa 2020 japo wao wenye Wana some blunders.

Endeleeni kukaza
 
Shetani ni ccm na wewe ni miongoni mwao,kipi kimekufanya usione makucha ya ibilisi ccm hapo?
Endelea kushupaza shingo, hakuna family iliyonavita ndani kwa ndani,ikatoka nje ikawa imala, sanasana inasambalatika tu, ndio Chadema Sasahivi, kwenye kundi hili la akina Mdee wengine ni wake wa viongozi leo hii umefukuza mke wangu halafu ni kiongozi nitajisikiaje!Hanje ameshauli vizuri kuwa nieli turudi kwenye chama tuyamalize, vijana mnaanza kumsimanga,ngoja ngoma ifike mwisho tuone.
 
Kwa uandishi huu, hakika wewe ni mtaji wa ccm.
 
Imetoka vema kabisa. Nimekupata uzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Asante sana
 
Kiwango cha uelewa kinatia saka kubwa. Wanatafunwa na wakubwa wa ccm waliowateua hao 19 kwa hila. Sasa kumbe walitafuna mifupa na chupa pamoja na shubiri, kumeza vimekwama kooni. Nusrat anapoteza kabisa mwelekeo.
Sasa chadema wanatafunanaje? Au unasema tu bila hata kufukiri mkuu
 
Kibatala.Unafahamu kuwa Chadema haijawahi kukuteaua kuwa mbunge?

Hanje.Sifahamu!

Kwa huyo mheshimiwa mbunge hajui ubunge wake ulitoka wapi😳😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…