Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.