Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Bangi si njema kwakoSugu ni Wakili atasimamia 🐼
Kesi za chadema,CCM itazimaliza!Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-Chadema hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
Anamuunga mkono Lissu kwa kukikatia chama ambacho Lissu anataka kukiongoza? Kama ana hasira na Mbowe si asisimamie kesi zote zinazomhusu yeye na wapambe wake!Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
Hivi kwa akili yako unafikiri hiyo kazi huwa anawafanyia bure? Kwa taarifa yako ni kwamba huwa anawatandika kweli kweli. Huwaombea wawe na kesi kedekede. Kwa mwaka hakosi bilioni moja kutokana na kesi za chadema.Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
Hawa watu usisumbuke kuwajibu kwa details ... Wapo kwenye confused mode.Hivi kwa akili yako unafikiri hiyo kazi huwa anawafanyia bure? Kwa taarifa yako ni kwamba huwa anawatandika kweli kweli. Huwaombea wawe na kesi kedekede. Kwa mwaka hakosi bilioni moja kutokana na kesi za chadema.
Boni Yai anachukua certificate of law pale OUT. Kwahiyo saccos itakuwa salama.Sugu ni Wakili atasimamia 🐼
Hivi matusi ya team Lissu kwa Mbowe... kashfa nzito anazotoa Lissu dhidi ya wenzie mlitegemea wao wanyamaze?Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
Nchi ni kubwa hii, mawakili wasomi wapo kibao ni suala la pesa tuuu....atimke haraka shwainiBoni Yai anachukua certificate of law pale OUT. Kwahiyo saccos itakuwa salama.
Stataaa Badoo picha kamiliWakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
Naona mlamba viatu unatapika shombo bila kujua athari za Kibatala kuikimbia saccos.Hivi matusi ya team Lissu kwa Mbowe... kashfa nzito anazotoa Lissu dhidi ya wenzie mlitegemea wao wanyamaze?
Kuna kiongozi wa CDM kaoga matusi kama Mbowe??
Halafu kibatala ni nani by the way!! Kwamba kwa hicho kidigrii chake uchwara cha Mzumbe amtishie nani?
Waende wanakoenda shabash
Mawakili wengine hata lugha tu ya kuandika hukumu hawaijuiNchi ni kubwa hii, mawakili wasomi wapo kibao ni suala la pesa tuuu....atimke haraka shwaini
Yaani kibatala aondoke ndo CDM iyumbe?? Are you serious?? Nyie watu mna kichaa!!Naona mlamba viatu unatapika shombo bila kujua athari za Kibatala kuikimbia saccos.