Nchi kubwa hii nenda kwenye database kajionee tuna mawakili waliosajiliwa wangapi!!Mawakili wengine hata lugha tu ya kuandika hukumu hawaijui
Sugu ni Wakili at
asimamia 🐼
Ha ha ha sawa LLB amesomea ONLINE...ni vipi INTERNSHIP aliifanyia through online and distance learning?!!Sugu ni Wakili atasimamia 🐼
Ha ha haha haYuko wakili ambae ni bingwa wa kushindwa kesi Madeleka atawasaidia
Labda wakili kwenye kesi za michanoSugu ni Wakili atasimamia 🐼
Ha ha haLabda wakili kwenye kesi za michano
Mjomba angu Mbowe asante kwa kutetea kikoba cha ukoo. Njoo usikie milio ya wanafiki wetu huku. Wachagga tumuunge mkono mbowe, kikoba hiki kimetutoa mbali.Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
Hata form 4 alimaliza kweli huyo mvuta bangi?Sugu ni Wakili atasimamia 🐼
Na bado Mbowe anaongeza zake.Hivi kwa akili yako unafikiri hiyo kazi huwa anawafanyia bure? Kwa taarifa yako ni kwamba huwa anawatandika kweli kweli. Huwaombea wawe na kesi kedekede. Kwa mwaka hakosi bilioni moja kutokana na kesi za chadema.
Mzee wangu enzi za Ujana wako ulikuwa muhuni sanaSugu ni Wakili atasimamia 🐼
Halafu watu wengi wanadhani kibatala anafanya bure, sio kweli analipwaHivi kwa akili yako unafikiri hiyo kazi huwa anawafanyia bure? Kwa taarifa yako ni kwamba huwa anawatandika kweli kweli. Huwaombea wawe na kesi kedekede. Kwa mwaka hakosi bilioni moja kutokana na kesi za chadema.
Kutetea CHADEMA kwake ni ajira nono ya uhakika.Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.
Aache, hivi kaacha kuvuta bangi? Tehetehe, kwamba huwa anatoa hela nyingi kusodo mise interns wake, hii dunia iba wahuni wengi sanaWakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu yake kukatishwa tamaa/kusononeshwa na atendewayo Lissu ikiwamo kutwezwa.
"....Kibatala anafikiria kuachana na utetezi wa mashtaka yeyote yajayo yatakayo kihusisha Chadema kwa kumuunga mkono Tundu." Chanzo.