Tetesi: Kibatala kukata rufaa kuondolewa jina la Tundu Lissu Urais TLS

Tetesi: Kibatala kukata rufaa kuondolewa jina la Tundu Lissu Urais TLS

Decree Holder

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
2,559
Reaction score
3,745
Kufuatia kuondolewa kwa jina la Rais wa TLS Tundu Lissu kutetea kiti chake TLS kwa kile kamati ya uchaguzi ilichodai aliyependekeza jina la Tundu Lissu ameshindwa kuthibitisha uhalisia wa fomu ya ugombea, kuna tetesi kwamba wakili msomi Peter Kibatala amepanga kukata rufaa dhidi ya maamuzi hayo ya kamati ya uchaguzi wa TLS mapema iwezekanavyo.

Kamati ya uchaguzi TLS imepitisha majina ya wanaowania nafasi mbali mbali za uongozi TLS huku miongoni mwao akiwemo mwanasheria msomi machachari mwanamama Fatma Karume anayegombea urais akichuana na makamu wa Rais wa sasa Godwin Ngwilimi, wagombea wengine ni Godwin Mwapongo na Godfrey Wasonga. Katika nafasi ya makamu wa Rais kuna Rugemeleza Nshala.
IMG-20180321-WA0087.jpeg

Tarehe ya mwisho kukata rufaa ni tarehe 23 March 2018
 
DU na woga wake kwa Lissu.

Kufuatia kuondolewa kwa jina la Rais wa TLS Tundu Lissu kutetea kiti chake TLS kwa kile kamati ya uchaguzi ilichodai aliyependekeza jina la Tundu Lissu ameshindwa kuthibitisha uhalisia wa fomu ya ugombea, kuna tetesi kwamba wakili msomi Peter Kibatala amepanga kukata rufaa dhidi ya maamuzi hayo ya kamati ya uchaguzi wa TLS mapema iwezekanavyo.

Kamati ya uchaguzi TLS imepitisha majina ya wanaowania nafasi mbali mbali za uongozi TLS huku miongoni mwao akiwemo mwanasheria msomi machachari mwanamama Fatma Karume anayegombea urais akichuana na makamu wa Rais wa sasa Godwin Ngwilimi, wagombea wengine ni Godwin Mwapongo na Godfrey Wasonga. Katika nafasi ya makamu wa Rais kuna Rugemeleza Nshala.View attachment 721633
Tarehe ya mwisho kukata rufaa ni tarehe 23 March 2018
 
Back
Top Bottom