kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Karume kapindua meza sasa kavaa uhalisia wake dhidi ya rais mtoro!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bush lawyer sheria unajua wapi? Kimbia kachukue buku 7 yakoHuyu Kibatala ni hewa kabisa amekula bure hela za Sugu alafu akaishia kufungwa.
Mh zile bilion aliyeshitaki askari kalipwa kweli!!???Hako ka binti Karume kanagombea urais wa TLS?
WTF!!
Mh zile bilion aliyeshitaki askari kalipwa kweli!!???
Ndo maana jambazi(no hard feelings)Bora tu walivyo mkata
Ila wasomi wenzake waliostaarabika hawatamchagua. Hawangependa tena bar society yao iendelee kutumiwa na wanaharakati wa kisiasa. Huyo Fatuma ikimugusa tu anakupeleka mahakamani kukudai sh billion moja. Yule afande sijui waliyamalizaje.Karume kapindua meza sasa kavaa uhalisia wake dhidi ya rais mtoro!
Huyu Kibatala ni hewa kabisa amekula bure hela za Sugu alafu akaishia kufungwa.
wakitaka nchi yao... wenzetu wakitaka kugombea chochote wazanzibar . ujinga ujinga tu wa kujidai kila mtu yupo nje kumbe aengine wameolewa na waume wenzaoHako ka binti Karume kanagombea urais wa TLS?
WTF!!
Kufuatia kuondolewa kwa jina la Rais wa TLS Tundu Lissu kutetea kiti chake TLS kwa kile kamati ya uchaguzi ilichodai aliyependekeza jina la Tundu Lissu ameshindwa kuthibitisha uhalisia wa fomu ya ugombea, kuna tetesi kwamba wakili msomi Peter Kibatala amepanga kukata rufaa dhidi ya maamuzi hayo ya kamati ya uchaguzi wa TLS mapema iwezekanavyo.
Kamati ya uchaguzi TLS imepitisha majina ya wanaowania nafasi mbali mbali za uongozi TLS huku miongoni mwao akiwemo mwanasheria msomi machachari mwanamama Fatma Karume anayegombea urais akichuana na makamu wa Rais wa sasa Godwin Ngwilimi, wagombea wengine ni Godwin Mwapongo na Godfrey Wasonga. Katika nafasi ya makamu wa Rais kuna Rugemeleza Nshala.View attachment 721633
Tarehe ya mwisho kukata rufaa ni tarehe 23 March 2018