Alivyofunguka kisomi wakili Kibatala kuwahusu wabunge 19 waliokuwa wanachama wa CHADEMA:
Sura tofauti katika kushughulikia tatizo la aina moja (double standards) katika rangi zake zaanikwa.
Waheshimiwa Pascal Mayalla , Petro E. Mselewa na ndugu wajumbe hoja hupingwa kwa hoja.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Barikwa sana mtumishi kwa kuendelea kututoa tongotongo.
Mdogo mdogo, kwa pamoja tutafika tu.
Sura tofauti katika kushughulikia tatizo la aina moja (double standards) katika rangi zake zaanikwa.
Waheshimiwa Pascal Mayalla , Petro E. Mselewa na ndugu wajumbe hoja hupingwa kwa hoja.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Barikwa sana mtumishi kwa kuendelea kututoa tongotongo.
Mdogo mdogo, kwa pamoja tutafika tu.