Kibatala na Sintofahamu ya Wabunge 19 Wasiokuwa Wanachadema

Kibatala na Sintofahamu ya Wabunge 19 Wasiokuwa Wanachadema

Wala halina usomi. Ni uvunjaji wa katiba yetu ulio wazi. Wala haihitajiki Kibatala kumfanya mtu aelewe. Basi tu nchi inatawaliwa na washamba na wanaotawaliwa nao ni washamba. Bila katiba yenye checks and balances za kweli, haya mambo yataendelea sana.

Na ndio maana mafedhuli hayataki katiba mpya. Yanataka yaendelee kufanya ufedhuli bila kuzuiwa. Eti yanasema yanashughulikia maji, elimu na afya. Yalikuwa wapi kushughulikia hayo tangu 1961? Wanieleze ni nchi gani iliyoendelea ambayo siku moja ilifika hatua ya kuacha kushughulikia maji, elimu na afya? Haya ni mambo ambayo nchi zote zinaendelea kushughulikia mpaka mwisho wa dunia. Hata Marekani, UK, Japan... zinashughulikia haya mambo mpaka leo hii. Biden kasema bajeti yake kubwa inakwenda mwenye miundombinu.

Halafu yanasema katiba siyo sera yao. Akina JK, Waryoba, Butiku... ni UKAWA? Yaleyale aliyopita kukusanya maoni (Polepole, Kabudi, etc.) leo yanasema katiba mpya haihitajiki!! Yaani Tanzania hii ina watu mafara sana. Tena yanaongoza nchi eti! What a shame and disgrace to the country!!
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
Kwa Mahakami ipi chini ya Jaji aliyeteuliwa na nani??
expand...
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
Ugumu ni huu...
Kuna kamati za bunge ni lazima ziongozwe na wapinzani. Sasa unfortunately, CCM hawakuioiga hesabu hii wakati wa uchaguzi mkuu. Kwa wanavyojua wao, wakachukua viti vyote vya bunge na kuviacha viwili tu, Mtwara vijijini na Nkasi kaskazini. Hao wawili hawatoshi kuchukua nafasi za kamati husika. Hivyo njia pekee ni kuwang'ang'ania akina Halima na wenzie
expand...
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
Samahani. Lakini kwa nini mimi niulizwe habari za CHADEMA? Halafu hata kwa akili ya kawaida hao CHADEMA anaotaka kwenda mahakamani, ni mahakama gani hiyo wangeenda ktk miaka 5 iliyopita? Ama huyo Evarist yeye alikuwa naishi sayari nyingine? Anaweza asiwe mjinga lkn maswali yake ni ya kijinga.
expand...
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
Wewe ni mbwa kweli kweli.
expand...
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
Wale wanaolinda masalai yao hawataki katiba mpya lazima tuidai kwa nguvu zote
expand...
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
Alivyofunguka kisomi wakili Kibatala kuwahusu wabunge 19 waliokuwa wanachama wa CHADEMA:

View attachment 1843135

Sura tofauti katika kushughulikia tatizo la aina moja (double standards) katika rangi zake zaanikwa.

Waheshimiwa Pascal Mayalla , Petro E. Mselewa na ndugu wajumbe hoja hupingwa kwa hoja.

Au nasema uongo ndugu zangu?

Barikwa sana mtumishi kwa kuendelea kututoa tongotongo.

Mdogo mdogo, kwa pamoja tutafika tu.
expand...
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
Wale wabunge walishafukuzwa uanachama toka spika anasita Nini kuwatoa bungeni .

Msiilamu chadema kwakuwa washajivua kuhusu hao watu.

Msala umebaki kwa spika JOBO
expand...
Chadema iko kama kikundi cha kwaya tu ambacho hakijasajiliwa toka ilipokataa kutii mamlaka za dola na mamlaka za dola haziwezi kuitii chadema nyie mnakuwaga wajinga sana Chama chenu kimekufa kwa ujinga wenu wa kushindwa kuwawajibisha viongozi wenu mliwafanya malaika kumbe mtu aliyefeli darasani huwa hawezi kufanya lolote la maana kiuongozi lichama la hovyo sana limejifilia mbali kabisa Asante Mungu kwa kutuondoshea hk kikundi cha wehu
 
kwenye hili CCM inaendeleza siasa zake za kale za divide and rule - ila kwa CDM hizo siasa zimeshindwa kupenya.. hapa ndipo wanapoumia roho zaidi.

Hili suala la kina Mdee kuwa Bungeni hadi leo hata mtoto mdogo anajua fika kwamba kuna dili lilifanyika.
dili lililofanyika ni kati ya mbowe na hao wabunge kama hawawatambui mbona kwenye uzinduzi wa bavicha katiba mpya pale barakuda kina mdee wapikuwepo mbona hawakuwafukuza?
 
Alivyofunguka kisomi wakili Kibatala kuwahusu wabunge 19 waliokuwa wanachama wa CHADEMA:

View attachment 1843135

Sura tofauti katika kushughulikia tatizo la aina moja (double standards) katika rangi zake zaanikwa.

Waheshimiwa Pascal Mayalla , Petro E. Mselewa na ndugu wajumbe hoja hupingwa kwa hoja.

Au nasema uongo ndugu zangu?

Barikwa sana mtumishi kwa kuendelea kututoa tongotongo.

Mdogo mdogo, kwa pamoja tutafika tu.
Safi. Kinachofanywa na Ndugai ni ubadhilifu wa fedha za umma. Ipo siku wahusika watalipa.
 
Nadhani hiki ndio kinachotufanya wengine tuhofie kuwa Katiba Mpya itapatikana lakini uvunjifu wa sheria sio tu utaendelea bali hautochukuliwa hatua.

Nina maswali mawili yanayonitatiza
1. Kwanini Chadema hawajachukua hatua kisheria dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo chama hicho inaituhumu kufoji orodha ya majina ya wabunge hao 19?
2. Kwanini Chadema haijachukua hatua za kisheria dhidi ya Spika wanayemtuhumu kuwakumbatia wabunge hao 19?
Muwe mna elewa chadema wamefanya yao ndani ya chama,mahakamani kufanya nini sio kazi ya chadema kuwatoa bungeni ni kazi ya bunge,Bunge litafsiri katibaifanye watokanayo
 
Nina maswali mawili yanayonitatiza
1. Kwanini Chadema hawajachukua hatua kisheria dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo chama hicho inaituhumu kufoji orodha ya majina ya wabunge hao 19?
2. Kwanini Chadema haijachukua hatua za kisheria dhidi ya Spika wanayemtuhumu kuwakumbatia wabunge hao 19?

CHADEMA wao walishasema kuwa hizo nafasi 19 hawatazitumia. Ila, kama wangekuwa wanataka kupeleka watu wao, wangeenda mpaka mahakamani kuzipigania nafasi hizo.
Wao, wanachotaka, Dunia ijue ule uchaguzi, matokeo yake hawayatambui, na nafasi walizopewa hawazitumii.
Wakatimiza wajibu wa kuwakana hao, 19, na wakawa wametimiza wajibu wao.
Sasa kama Ndugai na Serikali imewakumbatia, CHADEMA hawapungukiwi chochote!
 
Ufujaji wa fedha za UMMA!
Rufaa ya hao covid 19 spika inamhusu vipi?
Wakili msomi yupo sahihi 100%.
 
Back
Top Bottom