Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hivi ni kweli ulikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali? seriousNi vyema sana, hakuna kosa kujulikana.
Ajuza jibu swaliUlitaka niteswe na upagani?
Wewe kondoo nini?
Siyo kweli.Hivi ni kweli ulikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali? serious
Mpaka ifike jumamosi lazima ubatizwe uwe mkristu na kuitwa Mery.Ulitaka niteswe na upagani?
Wewe kondoo nini?
Hapo sawa ningeshangaa sn kwamba watu walikosekana mpk ukapatikana weweSiyo kweli.
Labda huelewi kuwa mkristo wa kweli ni Muislam.Mpaka ifike jumamosi lazima ubatizwe uwe mkristu na kuitwa Mery.
Kondoo lini alichoka kushangaa?Hapo sawa ningeshangaa sn kwamba watu walikosekana mpk ukapatikana wewe
We ajuza ni mkorofi snKondoo lini alichoka kushangaa?
Kwa hiyo wewe ni mkristu wa kweli?π€Labda huelewi kuwa mkristo wa kweli ni Muislam.
Mkristo wa kweli ni Muislam.Kwa hiyo wewe ni mkristu wa kweli?π€
Acha usanii na majibu yako kama unakaanga mchele.πMkristo wa kweli ni Muislam.
Nini usichoelewa hapo?
Mkristo wa kweli ni Muislam.Acha usanii na majibu yako kama unakaanga mchele.π
Sawa shangazi Mery,nimeelewa.ππMkristo wa kweli ni Muislam.
Nini usichoelewa hapo?
Kakah Samahani nna shida na Mr kibatala naipataje au nije dmUnafahamu uzito wa karatasi?π€£
Acha ubishi usio na maana. Mtu anaaminiwa kupewa kesi kubwa na anashinda wewe unaleta wivu wako.Hapo sheria iko wapi, hiyo ni common sense tu, anapataga majinga. Kibatala wa kawaida tu namfahamu tangia anasoma Mzumbe, acheni sifa za kijinga
BIBI leo umekamatikaKamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
Kwani wewe ungefanyeje?Kamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
Nahisi askari mapoyoyo wapo wa kutosha tu.Kamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
Ajuza wetu ungekuwa wewe ungeweza?CCM wote si hakuna mwenye akiliKamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.