Aliyekuwa sheikh mkuu wa mkoa wa DSM ndg. Alhad Musa sasahivi ni mwekiti wa kamati ya maridhiano ya dini mvali mbali, inamaana Sheikh hajui kuwa dini ni moja tu?Uislam ni dini pekee duniani.
Duh!Kwa hiyo kuna uwezekano wewe unamfahamu Kibatala kuliko mama yake?Na hao wanaobanwa maswali na kushindwa kujibu ni mazuzu sana?Hapo sheria iko wapi, hiyo ni common sense tu, anapataga majinga. Kibatala wa kawaida tu namfahamu tangia anasoma Mzumbe, acheni sifa za kijinga
Nani alikwambia Uislam hauna mahusiano na wengine?Aliyekuwa sheikh mkuu wa mkoa wa DSM ndg. Alhad Musa sasahivi ni mwekiti wa kamati ya maridhiano ya dini mvali mbali, inamaana Sheikh hajui kuwa dini ni moja tu?
Hakuna sehemu nimesema uislam hauna mahusiano na wengine bali nimetaka kujua kama uislam unatambua dini nyingine kuwa ni dini?Nani alikwambia Uislam hauna mahusiano na wengine?
Unaota?
Ndiyo keshaulizwa sasa. Na hakimu kayakubali.SHIDA MAWAKILI WANAKUULIZA MASWALI YA KUUDHI ILI UCHUKIE SASA MASWALI GANI HAYO KUMUULIZA MTU?
Qur'an 3:83. Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa? 83Hakuna sehemu nimesema uislam hauna mahusiano na wengine bali nimetaka kujua kama uislam unatambua dini nyingine kuwa ni dini?
Ndoyo.kwahiyo ni sahihi kwamba serikali ya ccm inawaajiri mapoyoyo kuwalinda raia na mali zao
Cross examination....Sehemu ya mahojiano ya Wakili Msomi Peter Kibatala na Mkuu wa upelelezi Mkoa wa kipolisi Kinondoni, SSP Gerald Ngichi kuhusu kesi nambari 112 ya Mwaka 2018 iliyowahusu Freeman Mbowe na wenzake.
KIBATALA: Umesema Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake?
SSP Ngichi: Ndio
KIBATALA: Unawajua walinzi wa Mbowe?
SSP Ngichi: Siwafahamu.
KIBATALA: Sasa uliwezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wake?
SSP Ngichi: Walikuwa wakimsaidia
KIBATALA: Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake?
SSP Ngichi: Kimya.
KIBATALA: Mbowe alisema hatupaswi kuona kawaida wenzetu kunyongwa hadi kuuawa. Je unajua alikua anamaanisha nini?
SSP Ngichi: Hapana
KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?
SSP Ngichi: kimya
KIBATALA: Umesema Mbowe alisema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tugeuzwe mandondocha. Je kuna tatizo gani kwenye maneno hayo?
SSP Ngichi: Huo ni uchochezi
KIBATALA: Wewe ni mwanaume au mwanamke?
SSP Ngichi: Mwanaume?
KIBATALA: Je uko tayari kugeuzwa ndondocha?
SSP Ngichi: Hapana
KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?
SSP Ngichi: Kimya
KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu. Je ni kweli au si kweli?
SSP Ngichi: Sifahamu
KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Mugabe aling'olewa madarakani. Je ni kweli Mugabe aling'olewa au hakung'olewa?
SSP Ngichi: Sijui
KIBATALA: Unawezaje kufungua mashtaka kwa mambo ambayo hata wewe hujui?
SSP Ngichi: Sifuatilii vyombo vya habari.
KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi?
SSP Ngichi: Ndio
KIBATALA: Maneno hayo yana shida gani?
SSP Ngichi: Magufuli sio mwepesi kama karatasi
KIBATALA: Wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?
SSP Ngichi: Magufuli yupi?
KIBATALA: Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka
SSP Ngichi: Simjui
KIBATALA: Kwahiyo kwenye hati ya mashtaka mmeandika watu msiowafahamu?
SSP Ngichi: Aulizwe askari aliyeandika hiyo hati
KIBATALA: Kama wewe humfahamu kwanini unakataa kuwa si mwepesi kama karatasi?
SSP Ngichi: Kimya
Unaitukana Dola?Kamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
Askari anaweza asiwe popoyo ila hao waliomtuma ndiyo wakawa ma-popoyo. Kesi ya kutunga ni lazima upande wa mashtaka utakuwa popoyo.Kamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
Tutamuuliza tukimtembelea chato aliyewafunga.Askari anaweza asiwe popoyo ila hao waliomtuma ndiyo wakawa ma-popoyo. Kesi ya kutunga ni lazima upande wa mashtaka utakuwa popoyo.
Dola ilikufa zamani, sasa hivi tuna jamhuri.Unaitukana Dola?
Usimfanyie hivi huyu dada ashazeeka jamankwahiyo ni sahihi kwamba serikali ya ccm inawaajiri mapoyoyo kuwalinda raia na mali zao
Wewe na jazba zako ungepigana kabisaKamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
Aah wapi.Wewe na jazba zako ungepigana kabisa
Ubishi sio akiliAah wapi.
Yaani wewe mama unalishutumu geshi letu linaajiri mapoyoyo tena kwenye nafasi za uongozi kabisa?Kamkuta huyo askari wenyewe poyoyo tu.
Itavutia wengi kusoma sheria. Hivi vyuo vitoe nafuu ya ada kwa wanafunzi wote wanaosoma sheria ili kila mtu anayetamani kufanya hivyo aweze kusoma.Natamani kesi ziwe zinarushwa live huku. Mahojiano hayo mazuri sana.