Kibatala tena

Hapo sheria iko wapi, hiyo ni common sense tu, anapataga majinga. Kibatala wa kawaida tu namfahamu tangia anasoma Mzumbe, acheni sifa za kijinga
Duh!Kwa hiyo kuna uwezekano wewe unamfahamu Kibatala kuliko mama yake?Na hao wanaobanwa maswali na kushindwa kujibu ni mazuzu sana?
 
Aliyekuwa sheikh mkuu wa mkoa wa DSM ndg. Alhad Musa sasahivi ni mwekiti wa kamati ya maridhiano ya dini mvali mbali, inamaana Sheikh hajui kuwa dini ni moja tu?
Nani alikwambia Uislam hauna mahusiano na wengine?

Unaota?
 
Nani alikwambia Uislam hauna mahusiano na wengine?

Unaota?
Hakuna sehemu nimesema uislam hauna mahusiano na wengine bali nimetaka kujua kama uislam unatambua dini nyingine kuwa ni dini?
 
Hakuna sehemu nimesema uislam hauna mahusiano na wengine bali nimetaka kujua kama uislam unatambua dini nyingine kuwa ni dini?
Qur'an 3:83. Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa? 83
84. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake. 84
85. Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri. 8586. Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume huyu ni wa haki, na zikawafikia hoja zilizo wazi? Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu
 
Cross examination....
 
Hahaaaaa Kibatala ni smart sana, unapigwa maswali mpaka unajiona kalumekenge kabisa. Kimoyomoyo unatukana waliokutuma!!
 
Wataendelea kushindwa kujibu maswali kwa sababu hao polisi elimu zao za umande wanalazimishwa kufungua kesi ili kuwafurahisha wakubwa ambao kwenye hayo maswali ya wewe ni mwanamke au mwanaume wanakua hawapo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…