Elections 2010 Kibatari cha JK na Maziwa ya Nyerere

Elections 2010 Kibatari cha JK na Maziwa ya Nyerere

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Wakati wa uhai wa Baba wa taifa JK Nyerere RIP kulikuwa na uvumi kuwa na maziwa ndani ya kibuyu ambayo yalikuwa hayagandi. Kwa namna hiyo hiyo nasikia kuna mtu kashikilia kibatari cha Kikwete na karibu kitazimika kutokana na upepo wa kisiasa ya kweli hayo.Tujulishane.
 
hujakosea kibatari kinazimika soon
 
Back
Top Bottom