ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Wana bodi,
Nchi maskini na watu masikini wapatao 12,000 wa Kenya, watanufaika na mabanda 6000 yenye uwezo wa kibeba watu wawili wawili yatakayo gawiwa na china mara baada ya mashindano ya kombe la dunia kumalizika.
Ndugu zetu wa kibera watanufaika kwa mpango huu maana ndio hawana mahali pa kuishi huko Kenya nchi maskini
Nchi maskini na watu masikini wapatao 12,000 wa Kenya, watanufaika na mabanda 6000 yenye uwezo wa kibeba watu wawili wawili yatakayo gawiwa na china mara baada ya mashindano ya kombe la dunia kumalizika.
Ndugu zetu wa kibera watanufaika kwa mpango huu maana ndio hawana mahali pa kuishi huko Kenya nchi maskini