Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
This tym hamwezi kuchomoka. Naapa mbuzi aning'ate mkichomoka hapa Barcelona mabingwa.Juve naipenda sana. Ila pole yao kama c 5 bac 6 watapokea kutoka kwa wakubwa.
This tym hamwezi kuchomoka. Naapa mbuzi aning'ate mkichomoka hapa Barcelona mabingwa.
Barc mbovu hiyo iwe bingwa wa wapi hao
Mkuu hubahatishi unaweza hisi labda ulikuwa jirani wa Massimo MorattiKuhusu Juve,hiyo nickname ni ya kihistoria mkuu.
Hiyo timu ilianzishwa na wanafunzi,ikaitwa Juventus(vijana).Baadae ilianza kuvuma na kupata mashabiki wengi wahamiaji kule southern Italy ambao waliita "mchumba wa Italy" kutokana na kupendwa na mashabiki wengi zaidi ya timu nyingine Italia.
Miaka ya 1920's hadi 30's ilipochukuliwa na akina Agnelli,ndipo watu wakaiita bibi kizee,kwanza sababu ya ukoo wa Agnelli ambao ni wa siku nyingi huko Italy ambao uliitwa (vecchios signores(old gentlemen),pili sababu katika miaka hiyo Juve iling'ang'ania wachezaji wake mastaa ambao walicheza hadi umri mkubwa,hivyo timu hii ya vijana ikaanza kuwa na wachezaji wenye umri mkubwa tofauti na jina lao la Juve.
Tatu , Italia wana utamaduni wa kumheshimu sana mwanamke mzee,hivyo kuiita Juve jina la kibibi ni kama heshima fulani kwa timu hii ya siku nyingi nchini Italia.
Nadhani hujamuelewa @zeroseventytwo hajasema hamtashinda ila kasema hampiti..mnaweza mkashinda 2-0 mkatoka ..au mnaweza kushinda 3-0 zikapigwa penalty mkatoka..Ha ha ha haaa haya bana 072, pale namuogopa Dybala zaidi...lakn all in all ushindi ni wetu trust me mkuu, msije mkasema 2mebebwa tena kama yale ya psg mka2zushiaπππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu hubahatishi unaweza hisi labda ulikuwa jirani wa Massimo Moratti
Wakati wewe unaisubiria liverpool fc warudi champions league, mimi nawasubiria chama langu rossoneri (ac milan) irudi kwenye Uefa champions league.Nadhani hujamuelewa @zeroseventytwo hajasema hamtashinda ila kasema hampiti..mnaweza mkashinda 2-0 mkatoka ..au mnaweza kushinda 3-0 zikapigwa penalty mkatoka..
Nadhani umenielewa mkuu..
Mi naisubiri Liverpool Yangu Irudi UCL.