Kibiblia mwanamke yoyote ukimkuta hana bikra huyo si mke wako

Kibiblia mwanamke yoyote ukimkuta hana bikra huyo si mke wako

Revolution 22

Member
Joined
Jun 11, 2021
Posts
63
Reaction score
141
"Kibiblia mwanamke yeyote ukimkuta hana bikira huyo sio mke wako ni mke wa aliembikiri. Biblia inasema usimuache mke wa ujana wako ndoa ni agano na hakuna agano linafanyika bila damu. Agano la Mungu na wanadamu damu ya yesu ilimwagika.

Kwa hiyo agano la ndoa ni damu itoke yaani uone alama za ubikiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliembikiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi TV/FM
 
"Kibiblia mwanamke yeyote ukimkuta hana b1kira huyo sio mke wako ni mke wa aliembik1ri. Biblia inasema usimuache mke wa ujana wako ndoa ni agano na hakuna agano linafanyika bila d@mu. Agano la Mungu na wanadamu damu ya yesu ilimwagika. Kwahyo agano la ndoa ni d@mu itoke yaani uone alama za ub1kiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliemb1kiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi tv/fm
Kwani hatuambiani kila mara kwamba damu aliyoimwaga Yesu ndiyo ilikuwa ya mwisho na ikautakasa ulimwengu?Mbona tutachoka sana kwa vigezo na masharti ya kuzingatia maishani?
 
"Kibiblia mwanamke yeyote ukimkuta hana b1kira huyo sio mke wako ni mke wa aliembik1ri. Biblia inasema usimuache mke wa ujana wako ndoa ni agano na hakuna agano linafanyika bila d@mu. Agano la Mungu na wanadamu damu ya yesu ilimwagika. Kwahyo agano la ndoa ni d@mu itoke yaani uone alama za ub1kiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliemb1kiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi tv/fm
lusekelo mwenyewe mkewe hakumkuta bikra. kwahiyo hakuoa?
 
Back
Top Bottom