Revolution 22
Member
- Jun 11, 2021
- 63
- 141
"Kibiblia mwanamke yeyote ukimkuta hana bikira huyo sio mke wako ni mke wa aliembikiri. Biblia inasema usimuache mke wa ujana wako ndoa ni agano na hakuna agano linafanyika bila damu. Agano la Mungu na wanadamu damu ya yesu ilimwagika.
Kwa hiyo agano la ndoa ni damu itoke yaani uone alama za ubikiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliembikiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi TV/FM
Kwa hiyo agano la ndoa ni damu itoke yaani uone alama za ubikiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliembikiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi TV/FM