Kibiblia mwanamke yoyote ukimkuta hana bikra huyo si mke wako

Kibiblia mwanamke yoyote ukimkuta hana bikra huyo si mke wako

Anahoja inabidi asikilizwe

Asilimia kubwa za wanawake walioko kwenye ndoa hujikumbushia penzi na wale waliowatoa bikra zao ujanani mwao endapo tu walitengana Kwa wema .
Aikoo nakuunga mkono anahoja asikilizwe.
Ila haya maelezo yako pia ibaki na msingi wa "Asilimia kubwa ya wanawake" grateful kwa Asilimia chache tuliobaki😍😍 Lakini pia Shinikizo kubwa libaki kwenye kusistiza maadalili katika jamii kwa kizazi kinachokuja kama kitaweza kusikiliza.
Natamani nisingeambiwa haya indeep Siku za nyuma.
 
UKRISTO haujawahi kulazimisha kuufuata ila kobazini ndiko kuko hivyo.
Mkuu..nakushauri usome kuhusu Crusades! Wakristu nao wameshawahi kulazimisha watu kuwa kuachana na tamaduni zao na kufuata ukristo.
Huku kwetu, wa missionary walijenga shule na hospitali ambazo huwezi kupata huduma zake kama wewe si mkristu.
Usisahau kuhusu assimilation policies.

Of course waislamu na War lord wao wanayemuita mtume wamefanya majanga zaidi ila haifuti maasi ya wakristu wa enzi hizo.

Cha msingi, tunamke na kuthamini mila, imani na tamaduni zetu ambazo hazina madhara kwetu.
 
Kwa kizazi hiki ni cha kuwaza ati mkeo atachapwa na aliembikiri wakati ana miaka 14 sijui 15 huko, hayo mambo labda wanawake wa zamani wasio waza vikoba na marejesho.
 
Maagano yote anayoingia Mkristu anaingia in Christ.....The blood is Jesus's blood.
 
Mbona ghafla sana 🥹🥹
Kwahiyo iliyotoka kwa baisko mnatusaidiaje??
 
Mimi nikiweza kumridhisha my wangu inatosha mradi iingie
 
Nani aliwadanganya kama Wanawake huwa hawasahau walio watoa bikra?
 
Mkuu..nakushauri usome kuhusu Crusades! Wakristu nao wameshawahi kulazimisha watu kuwa kuachana na tamaduni zao na kufuata ukristo.
Huku kwetu, wa missionary walijenga shule na hospitali ambazo huwezi kupata huduma zake kama wewe si mkristu.
Usisahau kuhusu assimilation policies.

Of course waislamu na War lord wao wanayemuita mtume wamefanya majanga zaidi ila haifuti maasi ya wakristu wa enzi hizo.

Cha msingi, tunamke na kuthamini mila, imani na tamaduni zetu ambazo hazina madhara kwetu.
Una vuna dhambi Bure kwa Mungu/miungu unayoiabudu kwa kuandika uongo.
 
Back
Top Bottom