Revolution 22
Member
- Jun 11, 2021
- 63
- 141
Kwani hatuambiani kila mara kwamba damu aliyoimwaga Yesu ndiyo ilikuwa ya mwisho na ikautakasa ulimwengu?Mbona tutachoka sana kwa vigezo na masharti ya kuzingatia maishani?"Kibiblia mwanamke yeyote ukimkuta hana b1kira huyo sio mke wako ni mke wa aliembik1ri. Biblia inasema usimuache mke wa ujana wako ndoa ni agano na hakuna agano linafanyika bila d@mu. Agano la Mungu na wanadamu damu ya yesu ilimwagika. Kwahyo agano la ndoa ni d@mu itoke yaani uone alama za ub1kiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliemb1kiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi tv/fm
lusekelo mwenyewe mkewe hakumkuta bikra. kwahiyo hakuoa?"Kibiblia mwanamke yeyote ukimkuta hana b1kira huyo sio mke wako ni mke wa aliembik1ri. Biblia inasema usimuache mke wa ujana wako ndoa ni agano na hakuna agano linafanyika bila d@mu. Agano la Mungu na wanadamu damu ya yesu ilimwagika. Kwahyo agano la ndoa ni d@mu itoke yaani uone alama za ub1kiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliemb1kiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi tv/fm
WasituchosheKwani hatuambiani kila mara kwamba damu aliyoimwaga Yesu ndiyo ilikuwa ya mwisho na ikautakasa ulimwengu?Mbona tutachoka sana kwa vigezo na masharti ya kuzingatia maishani?
wale wote bikra.Sasa mzee wa upako kanosani kwake wanaoolewa wote ni bikira?
Inabid I tumuhoji mkuulusekelo mwenyewe mkewe hakumkuta bikra. kwahiyo hakuoa?
Azingatie sana hayo. Laa sivyo tutakataana kwa kila kitu. Kwanza mbinguni hakuna kuoana.Wasituchoshe
Yote yaliisha Calvary,, sasa tu viumbe wapya. Maagano yanavunjwa na tunasonga mbele kama Injili 😂😂
ajaribu kusema alimkuta bikra, kama wana waliomwanzishia njia hawajajitokeza.Inabid I tumuhoji mkuu
Hapana bana. Leteni hizo sadaka za kujimaliza 🤣🤣Dini ni kizingiti kikubwa cha maendeleo
Ni kunywa na kuimba 😂Azingatie sana hayo.Laa sivyo tutakataana kwa kila kitu.Kwanza mbinguni hakuna kuoana.
Ni kuji-finish kwa hiyari ya moyo.Hapana bana. Leteni hizo sadaka za kujimaliza 🤣🤣
Nimeenda hapo buza kwa kiboko ya wachawiHapana bana. Leteni hizo sadaka za kujimaliza 🤣🤣