kiboko kwa ngozi na miwasho

kiboko kwa ngozi na miwasho

jembe12

Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
58
Reaction score
7
wale ndugu zangu wanye fangas sugu na miwasho isiyo koma,vipele,chunusi,ngozi ngumu kupindukia dawa hyo hpo chini find me
ma email jembe86@gmail.com
 

Attachments

  • soap.jpg
    soap.jpg
    5.6 KB · Views: 420
Yaah inafaa mkuu hyo kwa umri wowote haina madhara,unapigia ata mswaki hyo
 
tuelekeze unapatikana wapi na unauza sh ngapi?email za nini humu?
 
Yaah mkuu imetengenezewa na asali datz y can use it mkuu unaweza nipata 0773043764 muwe seriouz
 
mbona hiyo number haipatikani jembe???
 
Piga mbona wengine nmewasiliana embu call usipo nipata weka yako ntakupigia
 
Yaani siku hizi mara TASLY, mara ORYFLAME Canada, mara GNLD, mara wachina at work, mara vile!! Tutakwisha!!!
 
Kk mwili kma gari,linapofikia mita kazaa kutembea linakwenda gereji kuwekwa vzuri na ss ndivyo tulivo tunaitaji spaire imara ili kuimarisha miili yetu kma gari kwaiyo kuwa makini na spare utakayo enda kununua
 
Back
Top Bottom