Kiboko ya wachawi aingia mtegoni
Serikali ya Tanzania imefunga huduma za huyu tapeli kwa kuhakikisha kuwa uchunguzi wao ulikuwa sahihi na sio wa kubahatisha
Mwandishi wa Mwananchi amethibitisha utapeli wa mkosefu huyu akiwa Congo kwa kuigiza kuwa anaumwa
Ni dhahiri kuwa tapeli huyu anaendelea kuumiza watu wanaoendelea kumfuata jambo ambalo linatoa tafsiri ya kuwa nchi ya Congo aliyozaliwa inapaswa kumwadhibu pia ili kudhibiti uhalifu huu

View: https://youtu.be/lcHdO51XVbk?si=MVQIZQeJ2u-p8TLU
 
Mjini shule. Wanawake ndio waathirika wakubwa wa hawa manabii na mitume wa miujiza
 
Back
Top Bottom