Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Fredick Sumaye aliyekuwa waziri mkuu wa Mkapa aliwahi kusema. Ukitaka mambo yako yanyooke jiunge na CCM. Je, kiboko ya wachawi hakuzingatia huu ushauri?
Pamoja na sababu zote zitakazosemwa ku justify kifungo chake bado kuna wenzake waliotenda mabaya zaidi na bado wanadunda kwa raha zao.
Kuna kitu kisicho cha kawaida sana kwenye hili. Kifungo chake kimekuja baada ya kutokea tenguzi na teuzi.. Je ni coicedence tu ama kuna mambo yanalandana?
Unajua haya mambo ni connection, ni kushikana mikono, ni nipe nikupe. Viongozi wote wa kisiasa wana 'ma baba wao wa kiroho' ama viongozi wa kidini.
Hawa watu wamebeba siri nyingi sana za wanasiasa kwakuwa wameaminiwa na wao na wanawasaidia mambo yao mengi ya kiroho yaliyojaa ulozi na ushirikina mkubwa kwa kivuli cha dini.
Hawa viongozi wa kisiasa huwabeba na kuwalinda hawa wana dini kwa gharama kubwa mno lakini za kificho
Sasa hawa matapeli wa kidini huwa ni watembelea fursa na huwa hawawi na chanzo kimoja cha fursa. Fursa huleta sadaka nnono.
Fursa huwatambulisha sehemu muhimu.
Fursa huwapa nafasi ya kuheshimika na kutambulika. Fursa ni fursa, Fursa fursana!
Wajanja wanajua madhara ya kuwa na fursa chache. Kuna leo kuna kesho. Zikiondoka fursa mbali hakikisha unazo tatu kibindoni ili kujihakikishia ulinzi, connection na mapato.
Kiboko ya wachawi ana mengi ya kusimulia.. Tuupe muda wakata. Huu ni mwaka wa uchaguzi, vita vya wanasisa vinasambaa mpaka kwa.
mafundi'
Pamoja na sababu zote zitakazosemwa ku justify kifungo chake bado kuna wenzake waliotenda mabaya zaidi na bado wanadunda kwa raha zao.
Kuna kitu kisicho cha kawaida sana kwenye hili. Kifungo chake kimekuja baada ya kutokea tenguzi na teuzi.. Je ni coicedence tu ama kuna mambo yanalandana?
Unajua haya mambo ni connection, ni kushikana mikono, ni nipe nikupe. Viongozi wote wa kisiasa wana 'ma baba wao wa kiroho' ama viongozi wa kidini.
Hawa watu wamebeba siri nyingi sana za wanasiasa kwakuwa wameaminiwa na wao na wanawasaidia mambo yao mengi ya kiroho yaliyojaa ulozi na ushirikina mkubwa kwa kivuli cha dini.
Hawa viongozi wa kisiasa huwabeba na kuwalinda hawa wana dini kwa gharama kubwa mno lakini za kificho
Sasa hawa matapeli wa kidini huwa ni watembelea fursa na huwa hawawi na chanzo kimoja cha fursa. Fursa huleta sadaka nnono.
Fursa huwatambulisha sehemu muhimu.
Fursa huwapa nafasi ya kuheshimika na kutambulika. Fursa ni fursa, Fursa fursana!
Wajanja wanajua madhara ya kuwa na fursa chache. Kuna leo kuna kesho. Zikiondoka fursa mbali hakikisha unazo tatu kibindoni ili kujihakikishia ulinzi, connection na mapato.
Kiboko ya wachawi ana mengi ya kusimulia.. Tuupe muda wakata. Huu ni mwaka wa uchaguzi, vita vya wanasisa vinasambaa mpaka kwa.