Kiboko ya wachawi amewalipa mamluki waje kumpigania kanisani, serikali iwe macho, unaweza kuniuliza chochote kuhusu huduma hii

Kiboko ya wachawi amewalipa mamluki waje kumpigania kanisani, serikali iwe macho, unaweza kuniuliza chochote kuhusu huduma hii

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Baada ya kikao chake na watendaji jana walikubalia waite mamluki waje kumpigania leo asubuhi kwa ujira wa buku teni .

Unaweza kuniuliza chochote kuhusu huduma hii hapa ili kupanua wigo wa kujifunza kuhusu hilo kanisa mpaka kufungiwa na unabii batili

USSR
 

Attachments

  • Screenshot_20240728-133218.jpg
    Screenshot_20240728-133218.jpg
    489.1 KB · Views: 4
وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٨٥﴾

85. Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kwake, naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika.[31]

آل عمران
 
Baada ya kikao chake na watendaji jana walikubalia waite mamluki waje kumpigania leo asubuhi kwa ujira wa buku teni .

Unaweza kuniuliza chochote kuhusu huduma hii hapa ili kupanua wigo wa kujifunza kuhusu hilo kanisa mpaka kufungiwa na unabii batili

USSR
Haya makanisa ya kitapeli yafutwe kuanzia la Mwamposa
 
Mtindo wa kulipa machawa waje kusifiwa uliasisiwa na Magufuli huko CCM .

Hizo dini zenu za kitapeli siziungi mkono hata kidogo ila kuna double standard kudeal na hao matapeli maana wengine wanaachwa tu sababu watawala wana maslahi nao.
 
Huyu kiboko ya wachawi alivuka mipaka yote ya ustaarabu na mbaya zaidi sio mtanzania. Naipoengeza sana serikali kwa kumfungia. Imfungie na Mwamposa pia.
 
Baada ya kikao chake na watendaji jana walikubalia waite mamluki waje kumpigania leo asubuhi kwa ujira wa buku teni .

Unaweza kuniuliza chochote kuhusu huduma hii hapa ili kupanua wigo wa kujifunza kuhusu hilo kanisa mpaka kufungiwa na unabii batili

USSR
Mkuu mnahanagaika sana na ujinga na hizi ndio head line za Kibongo, Bongo ni ngumu sana kupata headline seriou kwa Faida ta nchi. Tumejaaa kufuatilia ujinga ujinga sana.
 
Nipe mchakato mzima jinsi anavyolipa watoa ushahidi, anavyoigiza kuponya na kufufua watu.

Natanguliza shukrani.
 
وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٨٥﴾

85. Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kwake, naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika.[31]

آل عمران
Huu ni uislam gani unasema Ahmadiya, Shia, Suni, Ibadi au?
 
Huu ni uislam gani unasema Ahmadiya, Shia, Suni, Ibadi au?
وَأَنَّ هَـٰذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَن سَبِيلِهِ ۚذَٰلِكُمْ وَصَّاكُم بِهِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ﴿١٥٣﴾

153. Na kwamba hii ndiyo njia Yangu iliyonyooka, basi ifuateni. Na wala msifuate njia nyinginezo zitakufarikisheni na Njia Yake.[28]Hivyo ndivyo Alivyokuusieni (Allaah) kwayo mpate kuwa na taqwa.

الأنعام

وَاعْتَصِمُوا بِحَبْلِ اللَّـهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُوا
103. Na shikamaneni kwa Kamba ya Allaah nyote pamoja, wala msifarikiane

Huo ndio uislamu uliokusudiwa
 
Anafanya game ya kitoto sana. Kila mtu anaweza tu kuona kuwa katuma watu. Arudi kwao Congo. Aangaliwe uraia huyu.
 
Back
Top Bottom