Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha. Asema amemisi zile laki tano za kiingilio

Mwanangu kabisa(mshikaji) nae kapigwa kipumbavu 2milioni.

Kuja kusanuka anatuambia tukabaki tunacheka na kumuone huruma.

Ila hasira za kuchekwa alienda kumuashia dude nabii akamrudishia 1milion
Siwezi muinea huruma mtu mpumbavu,asipopigwa hawezi pata akili 😆😆
 
Ili Dunia iwe mahala salama pa kuishi inahitajika wajinga ndio Waziri kuwa wengi.

Werevu Wakiwa wengi hapatakalika so acha wajinga wapigwe
 
Kwa kuwa wanaomuamini wajinga acha wadharauliwe na hawa manabii..
 
Jukumu kubwa la serikali ni kuhakikisha ustawi na usalama wa watu wake. Ukishalijua hilo hautapaswa tena kuuliza hili swali lako. Anachokifanya Paul Kagame kule Rwanda, ndicho kilipaswa kufanywa na viongozi wetu dhidi ya hawa wadhalimu na matapeli.
Dini zenu hizo za Kizungu ni utapeli, tofauti ni kwamba hizo zingine Zina mfumo rasmi ambao umefungamanishwa na Serikali na hao wengine ni mtu binafsi.
 
Sasa huyo Mwarabu Fighter ni bodyguard au msaidizi wa kiroho wa huyo mcongo mbona anaingilia "speech" yake?

Nimepitwa na mengi, mara ya mwisho kumsikia huyo mwarabu ni kipindi kile alilala sijui na demu wa Diamond au Harmonize, yaani hata sikumbuki wala sijui....
 
Kula chuma icho
 

Attachments

  • VID-20240830-WA0004.mp4
    4.2 MB
Dah.. Mambo haya, unamfata demu unapiga sound anakunyima...
Afu Kuna huyu na uongo wake anaaminika na maelfu ya watu.
 
_Mwana sayansi mmoja wa anga pale NASA alikiri kabisa ni LAZIMA kuna nguvu kubwa ya uumbaji haiwezekaji system hasa hii ya mfumo wa jua ifanye kazi kwa usahihi miaka zaidi ya mabillioni."

Sasa hiyo ndio sababu inayokufanya uwape watu pesa zitakazowasaidia watoto wako hapo baadae?
 
Mwambieni anaharibu biashara za watu, ye keshapiga kivyake anyamaze kimya wengine waendelee kupigwa kimyakimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…