CCM ifukuzwe nchini kwani ni mtu kama kiboko ya wachawi ujinga nwingine mnajifunziaga wapi?CCM na kiboko ya wachawi hawana tofauti yyt n vile tu wkt haujafikaa nayo CCM ifukuzwe nchi maana mfumo wake ndio inawalea wahunii km kiboko ya wachawi na wanawafukuzaga kipindi washavuna kbs na kushibaa pesa za wajinga wachache wa Tz
Utapeli ni kosa kisheriaNdio, sasa hapo shida ni nini?
Mtu si ametoa laki tano kwa hiari yake ili aombewe? Kosa la huyo Mkongo ni nini?
Hivi wanatumia njia gani mpaka mtu anatoa pesa yote hiyo?!Mwanangu kabisa(mshikaji) nae kapigwa kipumbavu 2milioni.
Kuja kusanuka anatuambia tukabaki tunacheka na kumuone huruma.
Ila hasira za kuchekwa alienda kumuashia dude nabii akamrudishia 1milion
Hata kwingine wana tamani, wao wana namna zao za kupiga. Ktk dawa, uganga sijui tiba na dua.Wakristo kwa kuibiwa hawajambo hlf ndo wanajikuta wasomi hhhhh usomi huu mtaendelea kuibiwa mpk basi
Hii inaBaada ya serikali kulifungia Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe maarufu Kiboko ya Wachawi, sasa mlinzi wake maarufu Mwarabufighter1 ameposti video kwenye mtandao wa kijamii akiwa na Mchungaji Dibwe Lubumbashi nchini Kongo.
Chanzo: Nipashe Tanzania
Na alivyo na Dharau na Nyodo katika hiyo Video yake anasema msiwe na wasiwasi anakula Maisha huko Congo DR.
Hii inaonyesha ni kwa kiwango gani serikali ya Tanzania ilivyo lala uzingizi wa kufa. Yaani mtu kutoka hapo Congo tu anakuja anaanzisha kanisa la kitapeli anajitangaza kwenye vyombo vya habari . Anatapeli watanzania kwa miaka mingi . Serikali haina habari kabisa. Sasa Ebu ni ambie kama utapeli wa kiwango hicho unawezekana kwenye sector ya dini? Je kwenye nyaja za biashara ni makampuni mangapi yanafanya biashara za utapeli au yanazalisha bidhaa fake au yanahamisha hela nje ya nchi huku yakiacha watanzania kwenye umasikini na afya mbaya. It is sad.
Nchi ya wajinga wengi...kapiga hela anakula bata na anatamba.Kiboko ya Wachawi ambaye hajawahi hata kumkamata mwanga...
Ila kwa upande mwingine watanzania nao tumekuwa wajinga kupitiliza. Ni jukumu la serikali kuwathibiti hawa matapeli, ila na sisi tuwe tunatumia akili zetu vizuri kupambanua mchele na chuya. Yaani watu wanaibiwa kiboya kweli kweli, unaona kabisa hapa watu wanapigwa na bado wataendelea kupigwa.Nchi ya wajinga wengi...kapiga hela anakula bata na anatamba.
Hapo utapeli unaingiaje? Kutoa hela ili uombewe ni utapeli?Utapeli ni kosa kisheria
Wqnaotapeliwa hawatoi hela kwa hiari we mjuni?
Safi kabisa, ukiwa na uthubutu na ujasiri kama wa huyu jamaa lazima utajirikeWajinga ndiyo waliwao. Amekula hadi za Wajane, wamehonga viwanja na magari walioachiwa na marehemu waume zao wamebakia puu dadeq
Wakongo wajanja sana kwenye ulimwengu wa roho.Daah hii dunia ni ngumu sana aisee
Acha uongo wewe mimi ni mkristo mwenzio ila nikuambie kitu hata umkute muislamu ambae hata msikitini haendi ni ngumu mno kumdanganya mara oooh kipofu anaona mara kilema katembea ila hili kwa wakristo lipo kinyume mno ndio maana ni jambo rahisi kutohoji watu wanapodanganyana kanisani kuwa Yesu ni munguWewe kinachokuuma ni usomi wa wakristu.Kwa taarifa yako wahudhiriaji wengi kwa kiboko ya wachawi na kwa Mwamposa ni Waislam