Kiboko ya Wachawi: Kanisa ni katoliki mengine ni vibanda tu

Kiboko ya Wachawi: Kanisa ni katoliki mengine ni vibanda tu

Na akili zako kabisa unamsikiliza huyu muhun akiongelea taasis kubwa kama RC??.

Sema tu nimesikitika kuona mtu mzima hapo mwanaume na yeye anasikiliza kwa makiniii dah!!! Kwel siku za mwisho watu watakua na kiu ya neno la Mungu sema tu ndio viziwi hawajui pa kulipatia
 
Bora kumsikiliza KIBOKO ya wachawi, kuliko hawa wanaouza bandari, ngorongoro na rasilimali nyingine.
 
Yupo sahihi.....Hata wakina mwamposa wanajua kanisa ni moja takatifu Katoliki la Mitume

Uzuri alipotoa kauli hiyo hakuna aliyehangaika naye. Saa zingine kubishana na mwehu wote mtaonekana mnaafanana
 
Na akili zako kabisa unamsikiliza huyu muhun akiongelea taasis kubwa kama RC??.

Sema tu nimesikitika kuona mtu mzima hapo mwanaume na yeye anasikiliza kwa makiniii dah!!! Kwel siku za mwisho watu watakua na kiu ya neno la Mungu sema tu ndio viziwi hawajui pa kulipatia
Ngoja Anglicans wamshukie kama mwewe. Angesema kwa pamoja kuwa ukristu ni biashara.
 
Toka mwanzo tulionya. ..kiboko ya wachawi hana mahubiri ya kikristo, Mim sion mkatoliki ila mahubiri ya kichawi kichawi hunilishi
 
Back
Top Bottom