mabaya yatokeapo kwa watu wengine huwa hayawekwi hadharani mpaka yampate so-called CELEBRITY...!
1.MUULIZENI, GARI LAKE KUTOKA HAPO MOROCCO HADI (nadhani)OYSTERBAY POLISI kwa BREAK DOWN WALIPATANA?
2.JE MCHORO WA AJALI.....NDIVYO ULIVYOKUJA KUONEKANA SIKU YA PILI? PAMOJA NA MAELEZO YEKE? (kama hakumalizana)
MAWAZO YANGI; Gari iliyopata ajali,trafiki wasishinikize kwa lazima lipelekwe kituoni bila ya kupatana! Itafutwe njia ambayo haitaleta kero HASA KIPINDI HIKI CHA POLISI-JAMII