MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi ambaye ukimpa topic hawezi kukosa cha kuchangia, jana alishangwaza na baadhi ya wanafunzi kufeli mitihani yao huku wengine wakichora makatuni kwenye mitihani yao ya mwisho. Kibonde alidai enzi zake anasoma Azania alikuwa ana uwezo wa kupata A masomo yote na anakumbuka B alipata mara mbili pekee.
Anadai juhudi zake katika masomo zilimfanya akapata shule nzuri ya Ilboru ambapo aliendeleza moto ule ule kabla ya kufaulu na uko pia vizuri ambapo aliamua kutokwenda chuo na kuamua kufanya kazi katika kampuni moja iliyompa ofa nzuri ya kazi.
Pia amewaomba sana wadogo zake wanaomsikiliza washikilie elimu ili waje wapate mafanikio kama aliyonayo yeye ambapo baada ya nasaha hizo lilikuja tangazo la biashara.
Jamani mliofanikiwa kusoma naye ndugu Kibonde ebu tukumbusheni ni jinsi gani huyu jamaa alikuwa mahiri enzi zake.
Anadai juhudi zake katika masomo zilimfanya akapata shule nzuri ya Ilboru ambapo aliendeleza moto ule ule kabla ya kufaulu na uko pia vizuri ambapo aliamua kutokwenda chuo na kuamua kufanya kazi katika kampuni moja iliyompa ofa nzuri ya kazi.
Pia amewaomba sana wadogo zake wanaomsikiliza washikilie elimu ili waje wapate mafanikio kama aliyonayo yeye ambapo baada ya nasaha hizo lilikuja tangazo la biashara.
Jamani mliofanikiwa kusoma naye ndugu Kibonde ebu tukumbusheni ni jinsi gani huyu jamaa alikuwa mahiri enzi zake.