Kibonde kaondoka Clouds?

Kibonde ni mtangazaji mahiri sana
Acheni majungu ,, hapa si pahala pake
 
Nilikuwa napenda sana combination ya kibonde na Gadna tangu aondoke Gadna nikaacha kusikiliza jahazi
 
Huenda atakuwa Msoga akila maisha ya Palliative na Mkweree.
 
WADAU NISAIDIENI YUPO WAPI EMMANUEL BUHOHELA? Huyu alikua beneti sana na mh rais wakat wa kampeni au amepewa shavu?
 
Kibonde namsikiliza sasa hivi Clouds.
Yawezekana likizo (kimya chake) ila muda huu namsikia yeye Dakota hapa.
 
Kuna radio nyingi za kitoto kama clouds blabla siku nzima mara niko kwenye daradara utotooo mara nini bonge sijui uko wapi hakuna faida kupoteza muda tu.

Redio ipi wako serious??
 
Karibuni JEMBE FM clauds fm ndio inaenda kupotea watabaki na FIESTA tu
 
Ukishaingia huko 103.3 fm utazisahau radio stations zote, labda utakuwa unaingia radio 1 saa mbili kusikiliza habari au nipashe.
Sure... Mi nimeshasahau kuangalia TV pamoja na kusikiliza stations nyingine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…