Sio kweli mama yangu hana hata smartphone ila ananiambia sokoni walikuwa wanamjadili huyo mange kimambi kuwa kwann anamnyima usingizMange anaushawishi mtandaoni tu nje ya mtandao hajulikani, Wema Sepetu ingawa mimi namchukulia kama mtu wa ajabu ila wengi wanamfaham na wanamfatilia hadi interior huko
UrongoSio kweli mama yangu hana hata smartphone ila ananiambia sokoni walikuwa wanamjadili huyo mange kimambi kuwa kwann anamnyima usingiz
Acha uongo..., wewe au kuna mwanamke yeyote nchi hii anayeweza kushawishi watu watoe pesa zifikie $ 37,000...?!Mbona mange alishindwa kushawishi watu wamchangie kwenye GoFundme[emoji28][emoji28]