nachedeulla
Member
- Sep 28, 2018
- 97
- 75
01.04.2021Hii Katuni Ina Sahihi ya Masoud na Tarehe ni 9/1/21.
Tafakari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
01.04.2021Hii Katuni Ina Sahihi ya Masoud na Tarehe ni 9/1/21.
Tafakari!
Picha huwa na mambo mengi sana;
Noted👏Picha huwa na mambo mengi sana;
1. Kuna jiwe hapo kabla ya huyo mfungwa, huenda Madam akajikwaa kabla ya kumfungua.
2. Funguo inaonekana lakini hatuoni kufuli, yamkini hii funguo haimuhusu huyo aliyefungwa. Na funguo ukiziangalia ni za vitasa tofauti.
3. Inawezekana jamaa ana mnyororo usio hata na kufuli kwa hiyo kilichomfunga ni hofu zaidi haihitaji, ufunguo kuwa huru.
4. 'Mfungwa' hata hana habari kama 'neema' inamjia, huenda akafunguliwa na akabaki kifungoni kwa kutoelewa kama yuko huru.
5. Je, mfungwa ni 'mdanganyika' ama watawala?
Watanzania wote. UHURU!
Mheshimiwa ndio anafika kumfungulia mfungwa. Inaweza ikawa mwananchi au waliofungwa bila sababu za maana
No. Kwa fasihi za kifalsafa mchoro huo ni wa funguo,inamaanisha kufungua chochote,haijalishi ni mnyololo au kufuli au kitasaMbona Kama ni funguo za vitasa?
Minyororo si huwa inafungwa kwa kufuli??
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Cha muhimu ujumbe umeupataMbona Kama ni funguo za vitasa?
Minyororo si huwa inafungwa kwa kufuli??
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kumuelewa Kipanya inahitaji kipaji kweli...No. Kwa fasihi za kifalsafa mchoro huo ni wa funguo,inamaanisha kufungua chochote,haijalishi ni mnyololo au kufuli au kitasa
.
Uwezo wa kununua kandambili hawana lakini ilibidi wanunue kitambulisho cha mmachinga 20,000 kwa mwaka.Ni yule Mtanzania “mnyonge” ambaye hata uwezo wa kuvaa kandambili hakuwa nao ila bado akafungiwa hapo.
Hawa wamesokotwa na minyororo mizito na unahitaji “chain saw” kukata na sio hivyo vifunguo viwili😅
Sisi ambao tunatumia utambulisho feki
Au sio?. Ngoja nimrukie Masudi mwenyewe. Ila vipi Masudi na jiwe,vilikiwa haviivi kabisa?Kufungua fikra zetu tunazoamini kuwa sisi ni wanyonge.
Hivi yeye hawakuwahi kweli kumpeleka kule alikopelekwa roma?Masoud aliwakilisha mawazo ya wengi juu ya Jiwe bila maneno hatawkumshitaki huwezi.
Kabadilishe lenzi ya miwani yako, hiyo tarehe 1/4/2021...Hii Katuni Ina Sahihi ya Masoud na Tarehe ni 9/1/21.
Tafakari!