Ni wengine kuwa mahabusu na wengine kuhoji kama mwenyekiti atagombea muhula ujao.Ni nchi kuwa fragmented
"Nchi kuwa fragmented" hakusema hivyo... Mnamlisha maneno😁
Nalo "Neno"Rangi ya nguo za wanaohoji mmezielewa?
Nalo "Neno"
huyu hatumii mjani kweliView attachment 1889243
Mpaka gazeti la chama linafika sokoni, halijafika mezani kwa Katibu Mkuu wa chama kweli?
Hiyo vetting iliyotumika kumteua inaacha maswali mengi yasiyo na majibu.huyu hatumii mjani kweli
Hakusema hivyo nani!?"Nchi kuwa fragmented" hakusema hivyo... Mnamlisha maneno😁