Kibonzo cha leo: Vita dhidi ya ugaidi

Kibonzo cha leo: Vita dhidi ya ugaidi

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
E_y4Hj3VEAMoGJh.jpeg
 
Naombeni tuiangalie hii picha hapa chini kwa mujibu wa msanii Kingo.

Binafsi nimeshindwa kuitafsiri maana uwezo wangu wa kusoma habari picha ni mdogo.

Naomba wale magwiji wa kutafsiri hizipicha watujulishe maana elimu haina mwisho.

Screenshot_20210921-151435.jpg
 
Naombeni tuiangalie hii picha hapa chini kwa mujibu wa msanii Kingo.

Binafsi nimeshindwa kuitafsiri maana uwezo wangu wa kusoma habari picha ni mdogo.

Naomba wale magwiji wa kutafsiri hizipicha watujulishe maana elimu haina mwisho. View attachment 1947230
Wako very shallow

Gaidi Hana sura, uniform wala faith
 
Hata mwanasesere could be a terrorists

If drones can terrorize community why not a toy?
Wacha ajichore maana siku hizi jambo unalifanyia chumbani kwako na kesho yake unalikuta limeshafika ulaya
 
Kwa mahakama zetu hizi za bongo Mkuu ambazo hukumu zinafanywa Ikulu tuombe Mwenyezi Mungu sana ili waone aibu na hivyo kutenda haki.

Sijui aibu ataziweka wapi aisee.
Bbc ni watu wabaya sana
 
Back
Top Bottom