Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonaeeeee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuona Chifu Hang ya akiwa kwenye vita FEKI.
Wakati wenzake wapo seriously wanapambana na magaidi wa kweliUgaidi kivuli.
Wako very shallowNaombeni tuiangalie hii picha hapa chini kwa mujibu wa msanii Kingo.
Binafsi nimeshindwa kuitafsiri maana uwezo wangu wa kusoma habari picha ni mdogo.
Naomba wale magwiji wa kutafsiri hizipicha watujulishe maana elimu haina mwisho. View attachment 1947230
Wakwetu anamtandika mwanasesereWako very shallow
Gaidi Hana sura, uniform wala faith
Hata mwanasesere could be a terroristsWakwetu anamtandika mwanasesere
Wacha ajichore maana siku hizi jambo unalifanyia chumbani kwako na kesho yake unalikuta limeshafika ulayaHata mwanasesere could be a terrorists
If drones can terrorize community why not a toy?
Kazi inaendeleea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu yuko busy kinoomaNamuona Chifu Hang ya akiwa kwenye vita FEKI.
Haha hahaha hahahNamuona Chifu Hang ya akiwa kwenye vita FEKI.
Alafu yuko busy kinooma
Sijui aibu ataziweka wapi aisee.Analinda ushahidi wake FEKI aliodai utaishangaxa dunia [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui aibu ataziweka wapi aisee.
Bbc ni watu wabaya sana
Amina mkuuKwa mahakama zetu hizi za bongo Mkuu ambazo hukumu zinafanywa Ikulu tuombe Mwenyezi Mungu sana ili waone aibu na hivyo kutenda haki.