Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwete alijigamba kuwa aliachiwa mpunga mrefu hasa akiba ya pesa za kigeniHivi kuna Raisi anayeingia madarakani halafu akute Vault ziko za kutosha...!!?
Je wanaondoka madarakani huwa wanajichotea za kustaafu amaa...!?
Kikwete alijigamba kuwa aliachiwa mpunga mrefu hasa akiba ya pesa za kigeni
Oooh yes bibieNdo maana utawala wake bata lilikiwa jingi hadi uswazi...!?
Nchi bado hakuna presdaa aliyemfikia Ben kwa kuwa na mikakati kabambe ya kukuza uchumi hasa ukizingatia ameipokea nchi ikiwa taabaniNdo maana utawala wake bata lilikiwa jingi hadi uswazi...!?
Waweke basi baada ya tozo,ongezeko la mafuta,kodi n.k,shelvu linasomaje mpaka sasa
Ange bidi abuni vyazo vipya bila kuumiza wana nchi moja kwa moja, Tozo limeathiri biashara nyingi na kodi nyingi zitaendelea kutoweka. Tunarudi pale pale
Dhalim alikomba kila kitu
SureNchi bado hakuna presdaa aliyemfikia Ben kwa kuwa na mikakati kabambe ya kukuza uchumi hasa ukizingatia ameipokea nchi ikiwa taabani
Mshkaj alikua mvumilivu sanaNdo maana utawala wake bata lilikiwa jingi hadi uswazi...!?
Kama hazina hakuna hela kwanini anaanzisha miradi mipya?