Kibu arejea mazoezini Simba, ajiunga na wenzake kwa Mkapa

Kibu arejea mazoezini Simba, ajiunga na wenzake kwa Mkapa

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274

Baada ya sintofahamu ya mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis kutokuwepo kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao rasmi amerudi mazoezini.

Kibu amejiunga na wenzake mazoezini leo Agosti 2, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa yakiwa yamebaki masaa kadhaa kuelekea kilele cha Simba Day kitakachofanyika kesho.
Soma zaidi: Dili la Ulaya sababu za Kibu Denis Kutoonekana kambini
 

Baada ya sintofahamu ya mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis kutokuwepo kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao rasmi amerudi mazoezini.

Kibu amejiunga na wenzake mazoezini leo Agosti 2, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa yakiwa yamebaki masaa kadhaa kuelekea kilele cha Simba Day kitakachofanyika kesho
Kwanini Simba inamg'ang'ania mchezaji anayetafuta maslahi bora ulaya?

Kama si uchawi hiki ni nini? Walichopaswa kufanya Simba ni kusubiri ada ya uhamisho.
 

Baada ya sintofahamu ya mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis kutokuwepo kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao rasmi amerudi mazoezini.

Kibu amejiunga na wenzake mazoezini leo Agosti 2, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa yakiwa yamebaki masaa kadhaa kuelekea kilele cha Simba Day kitakachofanyika kesho
Hakuna shida mkuu. Nina imani huko alikokuwa pia alikuwa anafanya mazoezi
 

Baada ya sintofahamu ya mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis kutokuwepo kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao rasmi amerudi mazoezini.

Kibu amejiunga na wenzake mazoezini leo Agosti 2, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa yakiwa yamebaki masaa kadhaa kuelekea kilele cha Simba Day kitakachofanyika kesho
Mashabiki wa Simba wakashikiwa Akili eti katoroka.
 
Hili ni la kuonea huruma tu. Muwe mnapata ushauri kwetu sisi wasomi kabla ya kukurupuka
Anezimgua sana Kibu,Angepata baraka za uongozi isingekua shida,ila kujiamulia na kuondoka ni hovyo kabisa.Timu ina mengi ya kurebisha.

Angetrain na team kungekua na cha kuongeza msimu huu.
 
Nimegundua watu hawafatilii habari..au wanafatilia ila vichwa vyao ni vigumuu kama kashata...
SAGAI GALGANO hebu wadadavulie...
 

Baada ya sintofahamu ya mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis kutokuwepo kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao rasmi amerudi mazoezini.

Kibu amejiunga na wenzake mazoezini leo Agosti 2, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa yakiwa yamebaki masaa kadhaa kuelekea kilele cha Simba Day kitakachofanyika kesho
Agongwe adhabu moja mujarabu. Mtu unajua una mkataba na una terms fulani halaf bado unaenda kinyume unprofessional ways
 
Mkandaji karejea, watu matumbo joto...mbio za kwenda na kurudi chooni haziishi.
 
Back
Top Bottom