Kibu arejea mazoezini Simba, ajiunga na wenzake kwa Mkapa

Kibu arejea mazoezini Simba, ajiunga na wenzake kwa Mkapa

Hongera sana Kibu D kwa kurithi mikoba ya kaka yako Clotus Chama.
 
Kwanini Simba inamg'ang'ania mchezaji anayetafuta maslahi bora ulaya?

Kama si uchawi hiki ni nini? Walichopaswa kufanya Simba ni kusubiri ada ya uhamisho.
Viongozi wa Simba mbumbu tena sasa naamini lile saga walikua wamemruhusu kuna usanii walikua wanacheza. Hii timu kwasasa haiwezi kutoka ilipo maana imejaza matapeli na watu wasiojua nini wanafanya.

NB:Naombea utopolo watuchabange goli za kitosha kwa ujinga wa simba.
 
Mods wajinga sana, jana tu walikanusha kuwa kibu hajaomba radhi, mko biased sana.
 
Back
Top Bottom