Kibu arudisha pesa za kwenye account ya Simba

Kibu arudisha pesa za kwenye account ya Simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
EXCLUSIVE; Mshambuliaji Kibu Denis Prosper amerudisha pesa zote ambazo alilipwa na klabu yake kama Signing Fees pamoja na mshahara wa mwezi mmoja kwenye Account ya Simba NMB.

Kibu Denis Prosper ambaye kwa sasa yupo nchini Sweden kwa mapumziko, Taarifa za ndani kabisa kuna timu kutoka hapa Tanzania ipo mbioni kumalizana naye kabla dirisha la usajili kufungwa mwezi ujao.

NB;UBAYA UBWELA TU.

1721812790369.jpg
 
... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗

Kibu Denis amerudisha pesa zote za signing fee pamoja na mshahara wa mwezi mmoja (1) alizopewa na Simba SC kupitia Bank ya NMB kwenye account ya Simba Sports.

[emoji3482] Kibu Denis Prosper 'Mkandaji' yuko Nchini Norway kwa ajili ya mapumziko

"Sisi tunamtambua Kibu Denis kuwa bado ni mchezaji wetu, mchezaji wetu mtoro. Simba tulitimiza wajibu wetu kwa asilimia 100%, nasema haya ili kila mwanasimba ajue"

[emoji2399] Ahmed Ally - Morogoro
 
... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗

Kibu Denis amerudisha pesa zote za signing fee pamoja na mshahara wa mwezi mmoja (1) alizopewa na Simba SC kupitia Bank ya NMB kwenye account ya Simba Sports.

[emoji3482] Kibu Denis Prosper 'Mkandaji' yuko Nchini Norway kwa ajili ya mapumziko

"Sisi tunamtambua Kibu Denis kuwa bado ni mchezaji wetu, mchezaji wetu mtoro. Simba tulitimiza wajibu wetu kwa asilimia 100%, nasema haya ili kila mwanasimba ajue"

[emoji2399] Ahmed Ally - Morogoro
Duu bora kama karudisha pesa
 
Kapata dharula,(changamoto) akiwa likizo ameamua kuridhisha pesa ili watafute mchezaji mwingine kabla ya dirisha kufingwa, je kafanya vibaya?
Kibu ana mkataba halali na simba. Kuvunja mkataba lazima mkae meza moja mkubaliane sio wewe kuamua tu kuvunja. Kibu hana dharura kwa sasa, wakala wake wa hapa Tanzania kathibitisha kuwa kadanganywa na huyo wakala wa ulaya.
 
Back
Top Bottom