balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Una uhakika?Kibu ana mkataba halali na simba. Kuvunja mkataba lazima mkae meza moja mkubaliane sio wewe kuamua tu kuvunja. Kibu hana dharura kwa sasa, wakala wake wa hapa Tanzania kathibitisha kuwa kadanganywa na huyo wakala wa ulaya.
Sasa kuna tofauti gani? Yaani wewe unaona utofauti,haya sisi ni watizamaji kama kipindi kile cha Fei mlivyo kuwa mkitutizama.Tukishaanza kumg'ang'ania tu itakuwa kama Fei. Ila tukiweka wazi kuwa pesa aliyoweka haitoshi na inayotosha ni kiasi gani haiwezi kufanana na ya Fei.
Huu uhuni unapaswa kukomeshwa. Haiwezekani mchezaji ajiamrie kuishi Kwa kuendesha taasisi. Hebu Kibu awe mfano.... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗
Kibu Denis amerudisha pesa zote za signing fee pamoja na mshahara wa mwezi mmoja (1) alizopewa na Simba SC kupitia Bank ya NMB kwenye account ya Simba Sports.
[emoji3482] Kibu Denis Prosper 'Mkandaji' yuko Nchini Norway kwa ajili ya mapumziko
"Sisi tunamtambua Kibu Denis kuwa bado ni mchezaji wetu, mchezaji wetu mtoro. Simba tulitimiza wajibu wetu kwa asilimia 100%, nasema haya ili kila mwanasimba ajue"
[emoji2399] Ahmed Ally - Morogoro
Utofauti utakuwepo iwapo tutamng'ang'ania ila tukifanya kama Azam kusema dau la kulipwa tutakuwa kama Azam.Sasa kuna tofauti gani?
La Feisal ilikuwa ni kulea kilema. Leo Wachezaji wanafuata humo humo.Kama kafata sheria hana tatizo, kama hajafata sheria asifikiri atakuwa na bahati ya kuombewa na Rais kama ilivyotokea kwa Feitoto.
Unachekesha, sasa Azam na Yanga kuna tofauti gani?Utofauti utakuwepo iwapo tutamng'ang'ania ila tukifanya kama Azam kusema dau la kulipwa tutakuwa kama Azam.
Labda vitumbua vyeusi sanawalinunua vitumbua
Anaruhusiwa kuweka pesa aondoke hata usipocheka. Ilimradi isiwe nje ya makubaliano.Unachekesha, sasa Azam na Yanga kuna tofauti gani?
Kwa hiyo ww Kibu aachwe baada ya kurejesha hela,tena kasaini ila yy ndiye ana amri.Mbonana ww una mitizamo ya kihuni.
Ikiwa nje ya makubaliano mtafanyeje?Anaruhusiwa kuweka pesa aondoke hata usipocheka. Ilimradi isiwe nje ya makubaliano.