Acha awaonyeshe maana mlipiga filimbi nyingi wakati tunaongelea suala la fei toto kuwa litakuja kuleta shida mbele ya safari, Sasa kimewakuta na yeye karudisha Kama alivyojisikia kwaiyo mumruhusu aondoke akatafute maisha Kama mlivyokuwa mnamwambia feisalEXCLUSIVE; Mshambuliaji Kibu Denis Prosper amerudisha pesa zote ambazo alilipwa na klabu yake kama Signing Fees pamoja na mshahara wa mwezi mmoja kwenye Account ya Simba NMB.
Kibu Denis Prosper ambaye kwa sasa yupo nchini Sweden kwa mapumziko, Taarifa za ndani kabisa kuna timu kutoka hapa Tanzania ipo mbioni kumalizana naye kabla dirisha la usajili kufungwa mwezi ujao.
NB;UBAYA UBWELA TU.
Acha awaonyeshe maana mlipiga filimbi nyingi wakati tunaongelea suala la fei toto kuwa litakuja kuleta shida mbele ya safari, Sasa kimewakuta na yeye karudisha Kama alivyojisikia kwaiyo mumruhusu aondoke akatafute maisha Kama mlivyokuwa mnamwambia feisalEXCLUSIVE; Mshambuliaji Kibu Denis Prosper amerudisha pesa zote ambazo alilipwa na klabu yake kama Signing Fees pamoja na mshahara wa mwezi mmoja kwenye Account ya Simba NMB.
Kibu Denis Prosper ambaye kwa sasa yupo nchini Sweden kwa mapumziko, Taarifa za ndani kabisa kuna timu kutoka hapa Tanzania ipo mbioni kumalizana naye kabla dirisha la usajili kufungwa mwezi ujao.
NB;UBAYA UBWELA TU.
Acha awaonyeshe maana mlipiga filimbi nyingi wakati tunaongelea suala la fei toto kuwa litakuja kuleta shida mbele ya safari, Sasa kimewakuta na yeye karudisha Kama alivyojisikia kwaiyo mumruhusu aondoke akatafute maisha Kama mlivyokuwa mnamwambia feisalEXCLUSIVE; Mshambuliaji Kibu Denis Prosper amerudisha pesa zote ambazo alilipwa na klabu yake kama Signing Fees pamoja na mshahara wa mwezi mmoja kwenye Account ya Simba NMB.
Kibu Denis Prosper ambaye kwa sasa yupo nchini Sweden kwa mapumziko, Taarifa za ndani kabisa kuna timu kutoka hapa Tanzania ipo mbioni kumalizana naye kabla dirisha la usajili kufungwa mwezi ujao.
NB;UBAYA UBWELA TU.
Sahihi mkuu....makolo mwaka huu wameyatimbaChura source yako kwanza haieleweki, sijui umeokota wapi hicho kipande cha habari ukaweka hapa.
Pili, hata kama Kibu akienda kwa vyura, nalo sio tatizo, hakuna mchezaji anayeizidi klabu ukubwa.
Tatu, Sumba Shc ninayoifahamu mimi haijawahi kuwa mbumbumbu wa kuingia mikataba na wachezaji wake kama vyura Fc, hii taarifa kama ni kweli Kibu naona hataki kucheza mpira tena.
Muda wetu?ndio maana kuna mkataba.Sasa ITC yake ataipataje?Ni sahihi mkuu....as long as pesa yenu imerudi