Karudisha pesa zenu, muacheni sasa.Kibu hana hadhi ya kufanya haya anayofanya. Uwezo mdogo uwanjani mbwembwe nyingi nje ya uwanja
Wote walikosea unadhani mimi nina ushabiki wa Kipimbi mimi ninYanga na mpira nausema kwa Jinsi ulivyo sio ushabiki wa kipimbi..Mbna Kwa feitoto makolo hamkuyasema haya
Mkataba alosaini na simba unasemaje kuhusu dharulaKapata dharula,(changamoto) akiwa likizo ameamua kurudisha pesa ili watafute mchezaji mwingine kabla ya dirisha kufungwa, je kafanya vibaya?
Hiyo michezo washabiki wa Simba waliifurahia na kuiunga mkono kwa Feisal,sasa imewarudia kwao “ UBAYA UBWELA”Anarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Nakumbuka kama vile naye alirudisha pesa kwenye akauntiKwa feitoto hamkuona
Tunamshtaki. Mbona rais sana hiyo. Si mkataba upo? Unless sisi ndo tuwe janja janja hatujanyooka.Ikiwa nje ya makubaliano mtafanyeje?
Hiyo Liverpulu yako ndo ile ya EPL au ya vikindu?Ndio maana niliacha kufatilia mipira ya kibongo. Wacha nibaki na Liverpool yangu.
Unasema arudishe pesa za usajili na mshahara wa miezi mitatu.Mkataba alosaini na simba unasemaje kuhusu dharula
Inategemea na Mkataba unavyoeleza, kama makubaliano yaliandikwa kuwa upande utaovunja mkataba utalazimika kurudisha pesa za signing fee kisha atakuwa huru basi Kibu atakuwa ametekeleza matakwa ya mkataba.Mkuu Scars ebu tupe ufafanuzi hapa,kibu ndio kishavunja mkataba hapa bado,maana ndio yale yale feisal uliedai exit clause ni kurudisha pesa tu
Swali fikirishi kwakuwa simba wanauzoefu wa kuvunja mikataba na makocha kirahisi sana hivi mikataba yao ikoje, tumeshuhudia wengine wakienda kuuguza Kwa kufunga wenyewe vilago, walio wengi kufungiwa vilago, (pack and go)Inategemea na Mkataba unavyoeleza, kama makubaliano yaliandikwa kuwa upande utaovunja mkataba utalazimika kurudisha pesa za signing fee kisha atakuwa huru basi Kibu atakuwa ametekeleza matakwa ya mkataba.
Ila navyojua Simba haiwezi kuweka kipengele chepesi kama hicho, kwasababu thamani ya kuvunja mkataba haitegemeani na thamani ya mchezaji aliyosajiliwa nayo.
Mchezaji anaweza kuwa amesajiliwa hata kwa milion tano lakini kwenye kipengele cha kuvunja mkataba bila sababu ikawekwa bilion 2.
Watajuana na waliompa ela
EplHiyo Liverpulu yako ndo ile ya EPL au ya vikindu?
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hawa simba wapuuzi walishupalia fei kurudisha hela tena badi hamed ally alikuwa anashabia sasa hivi jasho linamtokaHela za Mkataba zinarudi bila makubaliano mengine tena..hawa jamaa nani anawadanganya kufanya hivi kama kweli atakua karudisha hela bila kukaa mezani kafanya mambo ya kiboya sana..
Ubaya ubwege swahiba 😀
Walishaambiwa wakati wa sakata la Fei kuwa tunaweka precedency mbaya hawakusikia. Leo ipo kwao wamruhusu aendelee na mambo yake kwa kuwa amesharudisha fedha na kulipa mshahara wa mwezi mmoja.Tsh ngoea tuwaone nyie wazungu,ila nilikuambia Trend itakuwa kama ya Fei.Inaitwa Fei style.....