Mavi ya kale hayanuki.Kwa feitoto hamkuona
Anguko gani?Aende.ila aiksajiriwa utopolo watakuwa na anguko baya sana
Yetu macho
Kwa kweeli. 😀😀Ubaya ubwege swahiba 😀
HawatakuelewaAcha awaonyeshe maana mlipiga filimbi nyingi wakati tunaongelea suala la fei toto kuwa litakuja kuleta shida mbele ya safari, Sasa kimewakuta na yeye karudisha Kama alivyojisikia kwaiyo mumruhusu aondoke akatafute maisha Kama mlivyokuwa mnamwambia feisal
Basi ni wahuniSimba walimuingizia mpunga akiwa zake Marekani. Kama kumshawishi abakie Ili akirudi tu aje adondoshe wino. Kwa ujumla kulikuwa na makubariano ya mdomo tu. Hivi sasa kunzia leo ndio Simba wameshtuka wako mbioni kuhangaikia namna ya kufoji mkataba na sahihi ya kibu
Yani Kibu katoa branda hadi wewe bibi wa Kurjuaaani umeliona hiloAnarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?
Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?
Ndio.Una uhakika?
Hersi ndiye amemjaza ujinga huu lakini ajue hatacheza mpira tena labda akawe mkabajiKibu hana hadhi ya kufanya haya anayofanya. Uwezo mdogo uwanjani mbwembwe nyingi nje ya uwanja
=kulu-juan.Yani Kibu katoa branda hadi wewe bibi wa Kurjuaaani umeliona hilo
Mipango yote imeanizia hapa na msukaji ni Hersi Said.Kibu ana mkataba halali na simba. Kuvunja mkataba lazima mkae meza moja mkubaliane sio wewe kuamua tu kuvunja. Kibu hana dharura kwa sasa, wakala wake wa hapa Tanzania kathibitisha kuwa kadanganywa na huyo wakala wa ulaya.
Kulingana na maelezo yenu ya awali (refer suala la Fei), ameshatimiza kwa kuwarudishia hela yenu yote na mshahara wa mwezi mmoja. The same same kama Fei. Hivyo, mapaswa kumwacha aendelee na utaratibu mwingine kama mlivyosema kwa Fei.Utofauti utakuwepo iwapo tutamng'ang'ania ila tukifanya kama Azam kusema dau la kulipwa tutakuwa kama Azam.